Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #21
Jamani bwana Rutashubanyuma kasema ni dawa nzuri sana ya kudumishia mila
na kuufaidi ujana kikamilifu.........maana una mwisho...........
Jamani bwana Rutashubanyuma kasema ni dawa nzuri sana ya kudumishia mila
safi mdau kwa kutuletea kitu natural viagra si mali kitu.
pandaMkuu umenicheleweshea ushauri, ni jana tu nimeukata mkomamanga uliokuwa nyumbani kwangu kwa ajili ya kuwa na sisimizi wengi.
We mwali, unaitakia nini ati!
Ruta, unaanza kunitisha jamaa yangu!!!
Sijawahi kabisa kuliona hili tunda tanzania. Hivi linapatikana wapi?
Sijawahi kabisa kuliona hili tunda tanzania. Hivi linapatikana wapi?
Limejaa tele kwenye bustani binafsi katika maeneo ya mkoa wa pwani na Dar-es-Salaam yake
Linaitwa komamanga
na kuufaidi ujana kikamilifu.........maana una mwisho...........
Ruta maandalizi ya juice tafadhali.
mkuu....hujakaa uswahilini wewe.....ni nyumba chache sana uswazi hazina huu mti....uko wapi nikuletee mche.....?
Sijawahi kabisa kuliona hili tunda tanzania. Hivi linapatikana wapi?