Crucial Man
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 3,404
- 1,307
Hello jamii doctors,nimekuwa na tatizo la kutokwa na dalili za mba sehemu za katikati ya paja na testacles zangu,both sides.siku za nyuma nilipewa dawa ya kupaka zikapotea kabisa.mara hii zimerudi kwa kasi sana.juu ya pumbu moja kametokea kama kibarango,after 3 days kame spread na kameanza kunyeuka na kujivua gamba mithili ya nyakoka anae jivua gamba then pana washa.je hii yaweza kuwa std na namba ushauri nitumie dawa gani nilimalize tatizo hili once and for good.asanteni.