Mazungumzo ya Kikwete na Obama yalihusu Basketball!

JamiiForums inashuka status sasa! I am kind of worried! Nadhani hii hoja ni substandard hapa! Inajulikana sana kwamba zawadi anazotoa Obama kwa viongozi ni za aina gani. Kumbukeni kwamba alimzawadia Malkia I-pod. Kwa hiyo kumzawadia Kiwete basketball na Jersey na kuzungumza with a light touch kuhusu hiyo zawadi is very minor issue here! JF turudini tulikotoka jamani!

Inabidi tuwe na ewura au sumatra au Capital market authority ( i mean regulater). Hoja zinaelea sana. Ushauri wa bure, kama hoja ni gharama za safari na matokeo yake ingekuwa sawa lakini hoja imeletwa kama hakuna walichoongea cha maana. If we undermine our president to that much, we undermine or self also, Naunga mkono hoja ya hapo juu.
 
in fact huwezi fananisha Zimbabwe na Tanzania, nadhani Zambwabwe imepigika zaidi, ni watu wa kuonewa huruma. Huenda huo ndio msaada wao wa kwanza (tena kwa masharti) ndio maana ime "make news".
 
ile safari ya JK mimi niliona toka mwanzo ina mushkeri, mpaka JK anaondoka TZ kulikuwa hakuna taarifa kama angekutana na Obama na taarifa za kukutana kwao zilikuja baadae sana almost wakati Obama kashakaa mda wa kutosha US akiwa na ziara nyingine, na hata angalia baada ya mkutano ambao ulikuwa mfupi sana kwakuwa ni kweli haukuwepo kwenye ratiba ya Obama, kikwete aliendelea kupiga ziara nyingi tu US, ambazo kama zina tija basi tuambiwe...
Hivi jamani kuna raisi anaenda nchi nyingine na nakungoja siku tatu kuonana na mwenyeji wake??? lazima tuwe wa kweli...na hata coverage ya mkutano wa JK na Obama was very minimum,aliambulia interview ya CNN kwenye kipindi nazani kinaitwa Inside Africa...
halafu pia kuna vitu JK anaweza kufanya tu akiwa nje, kuongea na wananchi moja kwa moja..kwanini hapa hawezi???au kuna siku alihutubia hata wanafunzi kwenye college US, je hapa tuna vyuo vingapi ambavyo JK amehudhuria na kuhutubia wanafunzi au mpaka kwenye kampeni???

huu ndio tunaita uongozi bora....where charity never starts at home
 
Come on now, i'm not a big fan of JK but this criticism is ridiculous.

When you attend a meeting, before and after the meeting begins do you just sit silently and stare at each other?

Do you have a problem if they also discussed thier family, pets, the weather etc.

This is good healthy talk that helps to build friendships and hence better relationships. It can't all be business.

Alpha,

Hizo 'pleasantries' huwa sio sehemu ya habari. Lakini inavyoelekea Mwandishi wa Habari wa Ikulu ametoa Basketball kama habari ama moja ya mambo yaliyozungumzwa!
 
Come on now, i'm not a big fan of JK but this criticism is ridiculous.

Everything about JK is proving to be ridiculous and this should be no exception.

This is good healthy talk that helps to build friendships and hence better relationships. It can't all be business.

It may be healthy but a President does not make that kind of trip just to build friendship and hence better relationship - remember this visit was not covered even in the local San Francisco news.

Jokakuu,
Unashangaa nini hapa? Unataka rais wetu asiongelee michezo?
Mimi nakushangaa kwanini unashangaa!

Mimi sishangai tena kwa sababu nimeshashangaa vya kutosha na vituko vya muungwana.

Miafrika bana...who really cares wameongea nini.

I do, I do really care every time tax-payers money is spent on such useless trips by my President. How would you feel if next time he is met by big poster saying, "Fungeni milango anakuja" - reminds me of an old song about an unwelcome guest who continuallly and unashamedly knocked on neighbours doors "a-begging"
JamiiForums inashuka status sasa! I am kind of worried! Nadhani hii hoja ni substandard hapa!

What worries me most ni status ya nchi yangu inavyoshuka kwa kitendo cha Raisi wetu kuwa omba omba asiye na aibu. Naamini hii hoja hapa JF ndipo pahala pake na yeyote anayemtetea muungwana kwa hili, haitakii mema taifa letu.

Inajulikana sana kwamba zawadi anazotoa Obama kwa viongozi ni za aina gani. Kumbukeni kwamba alimzawadia Malkia I-pod.

Malkia hakusafiri maelfu ya maili na kuvuka bahari kwenda kupokea I-pod - aliletewa nyumbani kwake.

alieanzisha hii thread anaupungufu wa uwelewa..

Nafikiri deep down in your heart mwenye upungufu wa uelewa anaonekana wazi - watanzania bwana, kwa kufunika kombe, wape kombe. Duh, Raisi mzima wa JMT anaingia nchi ya watu hata meya wa mji hana habari !!

Dah! JF watu wanafakamia kila linalosemwa dhidi ya Muungwana.

Okay, JF watu wanafakamia kila linalosemwa dhidi ya Muungwana lakini aliyetoa taarifa ni mwandishi wa habari wa Ikulu.

My sentiments too!!
If we can believe this is what transpired, halafu tukaijadili, jamanai basi tunaweza amini kitu chochote.

Kuna ubaya gani kujadili - If we cant believe that is what transpired then what - tujadili au tusijadili. Basi jamani tunaweza tusiamini kitu chochote hata kama kinatoka Ikulu.

Tunavuna tulichopanda

 
Alikuwa mmoja ya wanawake muhimu katika TANU na harakati za kudos uhuru, na baadaye Mbunge na Naibu Waziri (Afya)

CEEPvU2UkAAEPXm.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom