Huyu jamaa hajitambui,watu tunatafuta mashamba kwa ajili ya msimu ujao,yeye yupo busy mitandaoni. Tulime kwa juhudi zetu alafu mwakani aje tena hapa kusema serikali izuie mazao kuuzwa nje. Idiot.kalime vya kwako alafu uje uropoke hapa
Huyu jamaa hajitambui,watu tunatafuta mashamba kwa ajili ya msimu ujao,yeye yupo busy mitandaoni. Tulime kwa juhudi zetu alafu mwakani aje tena hapa kusema serikali izuie mazao kuuzwa nje. Idiot.kalime vya kwako alafu uje uropoke hapa
Tenda wema wende zako, singoje shukurani.Wewe huyo jiran yako anakujali?
Ndio akili za waislam zilivyo ndio maana mmegawa bandari yetu kwa waarabu kiroho safi sio!Tenda wema wende zako, singoje shukurani.
Wewe mchaga nini? Mbona una roho mbaya hivi?
ila mbolea ikipanda Bei mnaililia serikali itoe ruzuku hivi pesa za ruzuku ni Kodi yako peke yakoMtatufidia wakulima?
Nimelima bila msaada wenu wala wa serikali, nimevuna kwa kulala shambani kwenye baridi wiki nzima halafu unataka nizuiwe kulima.
Hivi zinawatosha kweli? Napokea iliyo halali yangu. Ukikinga mwisho wa mwezi mbona sikuzuii?
Alokwambia wote wanalima kwa mbolea yenu nani? Kodi yako inaenda kwenye kugeuza mavi ya ng'ombe kuwa samadi pia?ila mbolea ikipanda Bei mnaililia serikali itoe ruzuku hivi pesa za ruzuku ni Kodi yako peke yako
Unataka kusema nini? kama kuna hali ya hatari ya kukosekana chakula huoni kama ni fursa hiyo na wewe uingie shamba kulima ili chakula kipatikane?Nigeria wametangaza hali ya hatari kuhusu hari ya Chakula nchini kwao
nazungumzia wakulima kiujumla hivi Kodi za samadi unaweza kulilia zipunguzwe beiAlokwambia wote wanalima kwa mbolea yenu nani? Kodi yako inaenda kwenye kugeuza mavi ya ng'ombe kuwa samadi pia?
Wakulima wengi hata hizo mbolea hawatumii...wanalima kilimo cha asili tu.nazungumzia wakulima kiujumla hivi Kodi za samadi unaweza kulilia zipunguzwe bei
Jitahidi kuwa na hela tu, njaa za siku hizi ni pesa tu hakuna kufa tena kwa njaa kama zamani kwa kukosa cha kununuaUkweli kwa sasa ni huu,
Kutokana na dunia kuwa na mvua chache, na ukanda wa Afrika pia kuathiriwa ni vyema sasa mazao yafuatayo yawekewe zuio la kuuzwa nje ya nchi ili kujihakikishia usalama wa chakula na kulinda soko la ndani.
Mchele, mahindi, muhogo, maharagwe, njegere, choroko, mtama mweupe na kadhalika. Mataifa mengi afrika yameweka zuio na mengine yameanza kutangaza hali ya hatari sababu ya njaa.
Mavuno yalikua kidogo na idadi ya watu imeongezeka maradufu. Wakati ambapo waziri wa kilimo anapambana na project za umwagiliaji na bado hatujakomaa kwenye umwagiliaji ili kua na uwezo wa kuvuna mazao misimu yote kwa mwaka tuchukue hatua hizo kwa sasa.
HAKUNA AMANI YA NCHI KAMA CHAKULA HAKITOSHI.
wanae leoWakulima watalima nawewe leo kwenye huu Uzi..
Braza narudia tena sijaweka mbolea wala dawa ya serikali. Sina deni na nyie. Badilini mbolea yenu iwe chakula ila tusipangiane.ila mbolea ikipanda Bei mnaililia serikali itoe ruzuku hivi pesa za ruzuku ni Kodi yako peke yako
Braza nimelala shambani siku tatu aisee. Nimepigwa baridi sijapata ona halafu mtu anapanua domo lake kubwa ka bakuli. Akalime awaone viwavijeshi walivyo na njaaWakulima watalima nawewe leo kwenye huu Uzi..😅
.Wakulima wa miaka hii ni wasomi, sio wa kipindi cha Nyerere, wengi wanahifadhi mazao na wanauza kwa malengo,