Meritta
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 1,303
- 293
Habari za jion memba,
Katika dunia yetu mi naamini hakuna mwanadamu ambaye anaweza kupita siku au masiku bila yeye kuingia katika dibwi la mawazo.
wengine ya kawaida sana, wengine ni yako magumu mpaka anafikia hatua ya kutaka kuchanganyikiwa, na pia mimi naamin
watu wanatumia njia mbalimbali katika kutoa hayo mawazo hayo kichwani. sasa wanajamvi hilo ndo haswa napenda tushiriki pamoja
katika kujuzana. tunatumia njia gani katika kupunguza mawazo yetu?
Nawasilisha, ukitaka kuchakachua niombe ruhusa kwanza
Katika dunia yetu mi naamini hakuna mwanadamu ambaye anaweza kupita siku au masiku bila yeye kuingia katika dibwi la mawazo.
wengine ya kawaida sana, wengine ni yako magumu mpaka anafikia hatua ya kutaka kuchanganyikiwa, na pia mimi naamin
watu wanatumia njia mbalimbali katika kutoa hayo mawazo hayo kichwani. sasa wanajamvi hilo ndo haswa napenda tushiriki pamoja
katika kujuzana. tunatumia njia gani katika kupunguza mawazo yetu?
Nawasilisha, ukitaka kuchakachua niombe ruhusa kwanza