Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
wimbo wa taifa kwa nini haupigwi kwenye bar au disco?
afu tunywe bia tumesimama?
Sababu ni wimbo ambao unapigiwa kwa ajili ya roho ya wazalendo, sio mili ya viruka njia...
afu tunywe bia tumesimama?
Maana yangu ni kwamba kuna nyimbo za kupigwa disco ili watu wafurahishe miili, na nyimbo zingine za kukaa ukitafakari na kupandisha hamasa ya kuisongesha nchi yako mbele. na nyimbo hizo haziwezi kamwe kupigwa in the same spaces. wimbo wa taifa haufai in the club.kwa jinsi Ivuga alivyo kilaza atakuwa hajakuelewa una maana gani, hebu fafanua kwa faida yake na yangu pia pamoja na vilaza wengine kama Ivuga.. Lol
Hahaah..hauchezeki!!wimbo wa taifa kwa nini haupigwi kwenye bar au disco?
halafu kusimama kwenyewe mguu sawa sio mguu pande, si tutadondoka.afu tunywe bia tumesimama?
Maana yangu ni kwamba kuna nyimbo za kupigwa disco ili watu wafurahishe miili, na nyimbo zingine za kukaa ukitafakari na kupandisha hamasa ya kuisongesha nchi yako mbele. na nyimbo hizo haziwezi kamwe kupigwa in the same spaces. wimbo wa taifa haufai in the club.
Poa, hope Ivuga atakuelewa sasa,,
Kwasababu ukiwa disko utaifa unauweka pembeni.