johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Sidhani kama kuna mtu huwa anasifiwa na Waswahili wa Darisalama kama mpishi wa misibani Ali Mapilau
Cha ajabu Sifa hutolewa Wakati wamelizunguka Sinia la pilau lenye manyamanyama
Shughuli ikitamatika na Ali Mapilau anasahaulika mazima hadi hitma nyingine
Mlale unono 😀🔥
cc: mrangi Ova Kinondoni
Cha ajabu Sifa hutolewa Wakati wamelizunguka Sinia la pilau lenye manyamanyama
Shughuli ikitamatika na Ali Mapilau anasahaulika mazima hadi hitma nyingine
Mlale unono 😀🔥
cc: mrangi Ova Kinondoni