BINARY NO
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 2,148
- 2,160
"Habari zinazoongelewa ktk maofisi husika baada ya kuvuja kutoka .............. zinasema mawaziri husika waliotajwa katka kashfa wizi wa mamilioni kua watachunguzwa na kufikishwa mahakamani then jela lakini habari tata zinzsema kua hawa mawaziri km watafikishwa mahamani wameapa kuvujisha siri kua hawako pekeao kwani kuna list ndefu ya vigogo watayoiweka hadharan km wakivuliwa nguo'''