johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,143
Mawaziri wakuu wastaafu mzee Lowassa na Sumaye leo walikuwa kivutio kikubwa pale bungeni walipohudhuria sherehe za kukabidhiwa majoho yao maspika wastaafu Msekwa, Sitta na mama Makinda.
Mara baada ya kutambulishwa na Spika Ndugai wabunge waliweka itikadi za kisiasa pembeni na kuwashangilia kwa upendo.
Ikumbukwe kuwa wastaafu hawa walikuwa Chadema kabla hawajajitengua.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mara baada ya kutambulishwa na Spika Ndugai wabunge waliweka itikadi za kisiasa pembeni na kuwashangilia kwa upendo.
Ikumbukwe kuwa wastaafu hawa walikuwa Chadema kabla hawajajitengua.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!