Mawaziri wa JK wagongana

Mama Terezya hongera kwa kujali mazingira na afya ya viumbe waliopo tanzania, hayo wafanyao hao wawekezaji huko kwao hawathubutu hata kidogo kufanyaa, endelea hivyo hivyo na tutakupa majina ya wengine ili uwafungie. Mzee kagasheki kwenye hili umechemka waombe radhi watanzania, ni heri tuwakose hao watalii na fedha zao kuliko kuharibu mazingira ambayo yakiharibika hatutapata nafasi tena ya kuyarekebisha
 
Namuunga mkono Kagasheki,kama kuna matatizo Wizara ya Utalii ingeshirikishwa kufikia muhafaka na hatua sahihi kuchuliwa. Kilichofanyika ni kuzikomoa hizi hoteli ktk kipindi hiki muhimu kibiashara.

ungemuunga na "masaburi" yako kabisa. Sijawahi kuona head iliyojaa upepo wa makalio kama ya jamaa, yani ni bora afya ya mtanzania au wenyeji wa maeneo hayo iwe mbovu kwa 7bu ya wazembe wachache eti kisa utalii unapoteza mapato? Inamaana Tz nzima inategemea mapato tu kupitia utalii bila kujali afya ya raia wake.?
 
Waziri fisadi utamjua tu kwa kauli zake sasa huyu Khamisi Kagesheki ina maana anajali sana pesa afya za Watanzania na viumbe vingine ambavyo viko majini Lol ndio maana hawana hata uchungu na wananchi kwa kuachiaa bidhaa mbovu kuingia nchini kwa kuwa wao wala hawazitumii kwani wao wanafahamu kuwa ni mbovu.Amaa kweli Mafisadi ni noma sasa alivyokuwa anasema ati huu ni wakati wa likizo watu wengi hata wa Ulaya watakuwa wamesitisha safari zao za kuja Tanzania kwani Hotel ni moja tu kwanza nataka Waziri afaahamu hata hao wazungu anaosema kuwa walikuwa waje kukaa kwa Hotel hizo wakisoma ni kwa nini Hotel hizo zimefungwa wataunga mkono.amesahau kwamba Wazungu wanajali utu wa mtu na wa viumbe hai so hizo za wziri Khamis kagasheki ni pumba,sioni kama haja ya kuongea ati na vyombo vya habaari wakati kwa sekta ya utalii kuna madudu kibao badala ya kukomaa kama mwenzake alivyofanya kwa Hotel hizo yeye anatoa mapovu we dont need this kind of minister who care about money,move out of our way we care about tanzanian health and the living things in da Ocean.
 
Hii naifananisha na kwenye kampuni yetu flani inaendeshwa kisiasa km serikali ya JK, yaani mtu akiwa na maslahi yake anayatetea maslahi ya kwa kujifanya jambo flani likifanyika/lisipofanyika, kampuni itapata hasara hii na hii. Hapo kagasheki na wasi wasi kuna maslahi anatetea,
 
Hii naifananisha na kwenye kampuni yetu flani inaendeshwa kisiasa km serikali ya JK, yaani mtu akiwa na maslahi yake anayatetea maslahi ya kwa kujifanya jambo flani likifanyika/lisipofanyika, kampuni itapata hasara hii na hii. Hapo kagasheki na wasi wasi kuna maslahi anatetea,

Ukiona anatetea ujinga, kama yy si mjinga basi ujue ni njaa inamsumbua;
 
Katika hili Kagasheki amechemka mno, pia kama waziri, hakutakiwa kutoa kauli hiyo hadharani akimpinga waziri mwenzake.
 
kagashek, amesheki na ametia aibu ya funga mwaka. Amewatia aibu sana wapiga kura wako,mkuu wa nchi wamechagua mtu asiye na uzalendo na wananchi wake. Au kwakuwa mbali na bahari?
 
Mama Terezya hongera kwa kujali mazingira na afya ya viumbe waliopo tanzania, hayo wafanyao hao wawekezaji huko kwao hawathubutu hata kidogo kufanyaa, endelea hivyo hivyo na tutakupa majina ya wengine ili uwafungie. Mzee kagasheki kwenye hili umechemka waombe radhi watanzania, ni heri tuwakose hao watalii na fedha zao kuliko kuharibu mazingira ambayo yakiharibika hatutapata nafasi tena ya kuyarekebisha

Si kila jambo analoongea Waziri lina maslahi na Nchi hivi ni uwekezaji gani ambao unaruhusiwa kufanyika bila ya kufuata utaratibu? Mkuu nimeupenda mchango wako na Waziri Kagasheki ndiyo hana maono na anatakiwa kweli atuombe radhi Watanzani kwa uzembe huu anaoutetea hatuwezi kuwaacha Wafanyabiashara ambao hawafuati sheria na kuendelea kutuona kuwa hatuna maana eti kwa sababu tu wao ni wawekezaji hilo hatulikubali.
 
KAGASHEKI ACHA UJINGA WAJERUMANI WACHACHE WAKAAO KWA WIKI MBILI HAWAWEZI KUPEWA KIPAUMBELE KULIKO WATANZANIA MAMILIONI TUTAKAOKAA NCHINI WIKI BILIONI. Au kuna maslahi binafsi nini?
 
Acha utoto' sababu alizosema ni "wachafu mazingira kwa kutiririsha maji machafu baharini" ungesema sio kweli ungeeleweka" acha u CCM wako!

hiyo miwekezaji mazarau mengi acha ifunzwe adabu hata faida yake hatuoni faida yao ndiyo tunayatetea kwenda zenu.
 
Hii Nchi ina upumbavu mwingi sana na ni kwasababu tu haya mazee yetu ni mapuuzi na mavivu ya kufikiri tu. Mimi sikubaliani na waziri hata mmoja kati ya hao wawili.

Hivi wakati wanajenga NEMC walikuwa wapi wasi address hizo environment impacts? Je walipataje building permits kabla ya mtoa kibali kuridishwa na reports za stakeholders wengine?

Kwangu ni upuuzi mtupu na wakuchukuliwa hatua ni NEMC na mamlaka iliyotoa vibali vya kujenga
 
Back
Top Bottom