Mawaziri na Wabunge mizigo CHADEMA hadharani

Dhana ya, " Dhana ya Government Budget Analysis" inatolewa bure na Shirika la REPOA. Mtoa mada angekuwa ana uelewa wa jinsi mradi ktk sehemu fulani unavyoanza > kujengewa hoja > hadi kufikia kutekelezwa ktk eneo fulani angegundua kwa ujumla wa mada aliyoianzisha ni ubumbumbu kwa yeye na kwa wengine wanao dhani kuimbia uwepo wa mradi wa maji, Elimu, barabara, afya, nk wakati wawapo bungeni ni usanii, usanii ulikidhiri kama sio ubumbu na kutowajibika kwa Mbunge husika. Na nikili hili ndio umzigo wa nchi hii uliotufikisha kwenye umaskini nchi yetu hii inapitia. Dhana ya uanzishwaji wa miradi uanzia vijijini na mitaani kupitia mfumo wa O&OD. Ngazi za wilaya na Wizara uinisha vyanzo vya mapato na kuvipangia matumizi. Kama Mbunge yu makini hutakiwa kwenye vikao vya kupanga ngazi za madiwani ambapo wabunge ni wajumbe, kushupalia uwepo wanalolitaka ktk bajeti. Kama halipo ktk bajeti ngazi ya wilaya hata agonge kichwa chini mara milioni huwa ni Nazi bure na ndicho huwa ninakiona mara nyingi wabunge kadhaa wanawahadaa wapiga kura zao kwa mikogo mingi ili wapiga kura hao wawaamini kuwa huwa wanawatetea. Utamsikia Mbunge X anapoteza muda wa bunge kusema mahali fulani jimboni kwangu maji shida, barabara haipitiki, tunataka Umeme, nk. Unajiuliza kama kule jimboni kwake wakati wa kuandaa bajeti na kuisimamia ili ipite alikuwa yuko? Pale bungeni huwa nikuweka uwiano wa bajeti kwa ujumla na hapo ndipo Uwezo wa Mbunge unaweza kuupima. Nafasi ya Wizara huwa no kuwasilisha kilichopitia mchakato kwa nchi nzima hadi kufikia bajeti kufikiwa. Kamati huweka mizania na wapinzani kuwasilisha agenda za mjadala. Kambi ya upinzani mtu kuiponda kwa uwasilishaji wake ni kwa akili ya mupondaji wake. Mpondaji ana aonavyo kuwa kungekuwa vile yeye angekuwa ameamini iko vizuri. Jiulize kama muono wa mpondaji una umbumbu wa kujua upondaji wake una nafasi gani. Mwisho nisijue kama mpondaji anajua juu ya collective management? Yaani hata kama unajua mengi unazungumzia au kushughulia machache na mengine unamwachia mwingine kwa kukubalia na mwishoni mnapomalizia unakuta yote mumeyazungumzia. Katika uwakilishaji wa kambi ya upinzani iangalie kwa ujumla wao na mwishoni toa issues na ulinganishe na za ccm na ulete tathmini yako tuichangie
 
Wabongo wanafiki kama nyie ndyo mnarudisha maendeleo nyuma. Et wamalizia kwa kusema "Naomba michango yenye tija kuboresha siasa za upinzani hapa TAnzania."

Nimejaribu kusoma post zako zote za nyuma upo against upinzani leo unajifanya et unataka kuboresha upinzani.

Hivi nyie vijana wa lumumba mnaona kila m2 ni mbulula?
 
Mtoa hoja yaani kula gwalaa mwana, umechambua hoja mulemule, najua wazee waUfipa street kinondoni lazima wakushambulie na hela zao za yule waliyemsafisha na kumpa ugombea urais, baada ya kuchinjwaaa na kuwa kapiii,!
 
Igwe wana JF.

Kutokana na mwenendo wa Bunge la bajeti mjini Dodoma imefanyika tathimini kutokana na hoja mbalimbali za wabunge na mawaziri kivuli kutoka CHADEMA.Tathimini hii hailengi kushinikiwa KUB Mbowe kuwaondoa,kubadilisha hususan mawaziri kivuli.Tunaanza na wafuatao kutokana na ripoti ilivyotolewa;

1.Mbowe,huyu ni KUB aliyekosa mvuto katika historia ya KUB kwenye bunge..madaifu yake ni pamoja na uwezo mdogo kuchambua na kutoa hoja mbadala ya uendeshaji serikali,hana taarifa muhimu za nchi hutegemea kuambiwa na kuongea.Ana uwezo mdogo wa kuchambua mambo ya nchi na ripoti japo huwa si mtu wa kushambulia haiba za mtu/mpinzani.Anahitaji msaada kutoka naibu KUB mwenye uwezo.

2.Tundu Lissu,Huyu ana uwezo mkubwa wa ubishi ambao usipokuwa makini anaweza kukuchota japo ni mpotoshaji mara nyingi.Hoja yake huwa ni moja tu,mkanganyo wa sheria bungeni ni mara chache huongelea hoja za maendeleo kama maji,umeme nk.Baada ya wizara ya sheria kupita hana hoja mbadala hata leo bunge likiahirishwa yeye poa tu.

3.Saed Kubenea,Huyu ame"prove failure" bungeni mapema sana.Kanuni za bunge zinambana kupotosha umma.Hana msaada tena.Siongezi neno.

4.John Mnyika,katika hali isiyo kawaida ubora wake hasa katika eneo la nishati,madini na maji kashindwa kuleta hoja kuntu akaleta hoja kujadili watu.Kaumbuka na unafiki wa kusafisha "richmond".na kuponda escrow...ikumbukwe Mnyika hadi leo anamiliki ushahidi wa Lowasa kulindwa na ikulu kuwa inamlinda Lowasa.Hajawahi kukanusha.

5.Wengine,Sugu,Susane,Lema uwezo wao ni mdogo sana katika kujenga hoja.Mfano;Lema hana lolote zaidi ya Lugumi,Suzan Lyimo kwenye mambo ya elimu anazungumzia uchaguzi UDOM,Uchaguzi mkuu 2015 kayapa uzito kuliko elimu,bure kabisa,Sugu yeye anaomba semina zirudi sababu anataka kufungua hoteli,bure kabisa.

Nachukuwa nafasi hii kumpongeza Esther Matiku,Waziri kivuli Muungano,Peneza,Waitara,Heche nk kwa kusimamia hoja kwenye maeneo yao.Wabunge hawa wameomba miradi mingi ya maendeleo kama maji,elimu nk bila kuongelea watu.

Pongezi kubwa kwa ZZK,umekuwa "all around MP" umechangia kwa hoja kila wizara ni funzo kuu kwa upinzani.Umetoa hoja bila kujadili mtu.Wengi tumejifunza.

Naomba michango yenye tija kuboresha siasa za upinzani hapa tanzania.

Nawasilisha
Vipi yule aliyetetea bangi ihalalishwe? Mwingine amesema tuondoe sanam ya askar wetu tuweke wakata viuno majukwaan diamond na mwisho juz tumesikia mwingine et wananchi wake wanaogopa kuoa wanawake wazur kisa watanyang'anywa Te Te Te Te Te Te bora kuuza vitumbua kuliko kufikiria kwa kutumia tumbo badala ya kichwa.
 
Ni vyema kama ungemchambua rais wako aliye madarakani kuliko hao ambao hawaongozi serekali.. Hao uliowachambua wote ni akili kubwa kulingana na wale vituko wa upande wa pili.. Mmoja anataka kulia bunge lisiwe live.. Mwingine sanamu la diamond liwekwe posta..
 
Dhana ya, " Dhana ya Government Budget Analysis" inatolewa bure na Shirika la REPOA. Mtoa mada angekuwa ana uelewa wa jinsi mradi ktk sehemu fulani unavyoanza > kujengewa hoja > hadi kufikia kutekelezwa ktk eneo fulani angegundua kwa ujumla wa mada aliyoianzisha ni ubumbumbu kwa yeye na kwa wengine wanao dhani kuimbia uwepo wa mradi wa maji, Elimu, barabara, afya, nk wakati wawapo bungeni ni usanii, usanii ulikidhiri kama sio ubumbu na kutowajibika kwa Mbunge husika. Na nikili hili ndio umzigo wa nchi hii uliotufikisha kwenye umaskini nchi yetu hii inapitia. Dhana ya uanzishwaji wa miradi uanzia vijijini na mitaani kupitia mfumo wa O&OD. Ngazi za wilaya na Wizara uinisha vyanzo vya mapato na kuvipangia matumizi. Kama Mbunge yu makini hutakiwa kwenye vikao vya kupanga ngazi za madiwani ambapo wabunge ni wajumbe, kushupalia uwepo wanalolitaka ktk bajeti. Kama halipo ktk bajeti ngazi ya wilaya hata agonge kichwa chini mara milioni huwa ni Nazi bure na ndicho huwa ninakiona mara nyingi wabunge kadhaa wanawahadaa wapiga kura zao kwa mikogo mingi ili wapiga kura hao wawaamini kuwa huwa wanawatetea. Utamsikia Mbunge X anapoteza muda wa bunge kusema mahali fulani jimboni kwangu maji shida, barabara haipitiki, tunataka Umeme, nk. Unajiuliza kama kule jimboni kwake wakati wa kuandaa bajeti na kuisimamia ili ipite alikuwa yuko? Pale bungeni huwa nikuweka uwiano wa bajeti kwa ujumla na hapo ndipo Uwezo wa Mbunge unaweza kuupima. Nafasi ya Wizara huwa no kuwasilisha kilichopitia mchakato kwa nchi nzima hadi kufikia bajeti kufikiwa. Kamati huweka mizania na wapinzani kuwasilisha agenda za mjadala. Kambi ya upinzani mtu kuiponda kwa uwasilishaji wake ni kwa akili ya mupondaji wake. Mpondaji ana aonavyo kuwa kungekuwa vile yeye angekuwa ameamini iko vizuri. Jiulize kama muono wa mpondaji una umbumbu wa kujua upondaji wake una nafasi gani. Mwisho nisijue kama mpondaji anajua juu ya collective management? Yaani hata kama unajua mengi unazungumzia au kushughulia machache na mengine unamwachia mwingine kwa kukubalia na mwishoni mnapomalizia unakuta yote mumeyazungumzia. Katika uwakilishaji wa kambi ya upinzani iangalie kwa ujumla wao na mwishoni toa issues na ulinganishe na za ccm na ulete tathmini yako tuichangie
Kazi ya kutoa hoja mbadala ni ya wabunge na sio REPOA.Jikite kwenye hoja.
 
Ni vyema kama ungemchambua rais wako aliye madarakani kuliko hao ambao hawaongozi serekali.. Hao uliowachambua wote ni akili kubwa kulingana na wale vituko wa upande wa pili.. Mmoja anataka kulia bunge lisiwe live.. Mwingine sanamu la diamond liwekwe posta..
Akili kubwa zisizoweza kutoa wagombea?...leo hii akili ndogo Lowasa na Sumaye wanaabudiwa na nyie wote?
 
ImageUploadedByJamiiForums1464510837.461014.jpg

Mleta hoja katika ubora wako.
 
Wabongo wanafiki kama nyie ndyo mnarudisha maendeleo nyuma. Et wamalizia kwa kusema "Naomba michango yenye tija kuboresha siasa za upinzani hapa TAnzania."

Nimejaribu kusoma post zako zote za nyuma upo against upinzani leo unajifanya et unataka kuboresha upinzani.

Hivi nyie vijana wa lumumba mnaona kila m2 ni mbulula?
Dogo upinzani usipokosolewa utadumaa.Ona tulivyomsifia Mbowe mwishowe anatuletea fisadi.
 
Igwe wana JF.

Kutokana na mwenendo wa Bunge la bajeti mjini Dodoma imefanyika tathimini kutokana na hoja mbalimbali za wabunge na mawaziri kivuli kutoka CHADEMA.Tathimini hii hailengi kushinikiwa KUB Mbowe kuwaondoa,kubadilisha hususan mawaziri kivuli.Tunaanza na wafuatao kutokana na ripoti ilivyotolewa;

1.Mbowe,huyu ni KUB aliyekosa mvuto katika historia ya KUB kwenye bunge..madaifu yake ni pamoja na uwezo mdogo kuchambua na kutoa hoja mbadala ya uendeshaji serikali,hana taarifa muhimu za nchi hutegemea kuambiwa na kuongea.Ana uwezo mdogo wa kuchambua mambo ya nchi na ripoti japo huwa si mtu wa kushambulia haiba za mtu/mpinzani.Anahitaji msaada kutoka naibu KUB mwenye uwezo.

2.Tundu Lissu,Huyu ana uwezo mkubwa wa ubishi ambao usipokuwa makini anaweza kukuchota japo ni mpotoshaji mara nyingi.Hoja yake huwa ni moja tu,mkanganyo wa sheria bungeni ni mara chache huongelea hoja za maendeleo kama maji,umeme nk.Baada ya wizara ya sheria kupita hana hoja mbadala hata leo bunge likiahirishwa yeye poa tu.

3.Saed Kubenea,Huyu ame"prove failure" bungeni mapema sana.Kanuni za bunge zinambana kupotosha umma.Hana msaada tena.Siongezi neno.

4.John Mnyika,katika hali isiyo kawaida ubora wake hasa katika eneo la nishati,madini na maji kashindwa kuleta hoja kuntu akaleta hoja kujadili watu.Kaumbuka na unafiki wa kusafisha "richmond".na kuponda escrow...ikumbukwe Mnyika hadi leo anamiliki ushahidi wa Lowasa kulindwa na ikulu kuwa inamlinda Lowasa.Hajawahi kukanusha.

5.Wengine,Sugu,Susane,Lema uwezo wao ni mdogo sana katika kujenga hoja.Mfano;Lema hana lolote zaidi ya Lugumi,Suzan Lyimo kwenye mambo ya elimu anazungumzia uchaguzi UDOM,Uchaguzi mkuu 2015 kayapa uzito kuliko elimu,bure kabisa,Sugu yeye anaomba semina zirudi sababu anataka kufungua hoteli,bure kabisa.

Nachukuwa nafasi hii kumpongeza Esther Matiku,Waziri kivuli Muungano,Peneza,Waitara,Heche nk kwa kusimamia hoja kwenye maeneo yao.Wabunge hawa wameomba miradi mingi ya maendeleo kama maji,elimu nk bila kuongelea watu.

Pongezi kubwa kwa ZZK,umekuwa "all around MP" umechangia kwa hoja kila wizara ni funzo kuu kwa upinzani.Umetoa hoja bila kujadili mtu.Wengi tumejifunza.

Naomba michango yenye tija kuboresha siasa za upinzani hapa tanzania.

Nawasilisha

Kwa hiyo lugumi sio hoja? Yule aliyesema wanawake wazur hawaolewi Umeona ndo hoja. Acha kujitoa ufahamu
 
We umeibua hoja gani hapo inayojenga taifa? Maana nawe umewajadili watu na co masuala.
 
Vipi yule aliyetetea bangi ihalalishwe? Mwingine amesema tuondoe sanam ya askar wetu tuweke wakata viuno majukwaan diamond na mwisho juz tumesikia mwingine et wananchi wake wanaogopa kuoa wanawake wazur kisa watanyang'anywa Te Te Te Te Te Te bora kuuza vitumbua kuliko kufikiria kwa kutumia tumbo badala ya kichwa.
Kijana kwasasa hoja ni hii iliyopo ntaleta siku nyingine hoja ya hao wengine.Jikite sasa!
 
Back
Top Bottom