Mvua ni nzuri na mbaya
We acha utani, si tunataka picha ya daraja lililobomoka wewe unaleta picha ya Kichuguu halafu eti site ya mtu!!!
Haya Wanajeshi Kazi hyo ni yenu fanyeni mpango wa daraja la mda maana kwa wakazi wa Bwax kuja mjini inabidi wapitie Kiwangwa-Msata-Chalinze
Mkuu , Jina na avatar yako vina uhusiano moja kwa moja na picha aliyopost huyo jamaa.Mbona sina uhusiano wowote na mada hii?
Hata hivyo maoni yangu ni kuwa hayo ndiyo matokeo ya ujenzi substandard na contract za chapchap. Huenda hakuna clause inayomwadhibu contractor wa kazi yenye matokeo hayo na vile vile warranty inawezekana pia ikawa ni goigoi.
Mawasiliano kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo yavunjika baada ya Daraja la Bunju B jiran na bao bao au kwa kipingu kuvunjika Kama unakwenda Bagamoyo nakushauri rudi nyumban hakuna njia!