MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Wapendwa natumaini wote mu wazima,
Katika kupitia pitia mada mbalimbali humu jamvini, nimekutana na post hii ya muhanga ambayo imenifanya niwaze mengi kiasi cha kujikuta nachanganyikiwa na hivyo kuona ni vema mkanisaidia kunijuza walimu wangu. Recently kumekuwa na mada nyingi zihusuzo kucheat ambazo zimekuwa zikichangiwa sana na bado kujikuta hatujapata muafaka kutokana na kuwa kwa inavyoonekana kuna uafadhali/unafuu/tolerance flani kama anayecheat atakuwa ni mume kuliko mke (at least hii ndo picha niliyoipata mimi MJ1)...............ambao wengi wamekuwa wakionekana kuwa wana what they regard kama "Genuine" reasons i.e. Mke mjeuri, ana dharau, hanitumikii e.t.c
Kwa upande wa wanawake wanaocheat, the only 'Genuine' reason ambayo angalau imeonekana kukubalika ni kutokujaliwa, mume kuwa buzy na mambo mengine, kumuignore kama anavyoiweka Dada muhanga katika post yake hii, nanukuu...........
.................."no what? changamoto mojawapo kubwa kwenye ndoa ni mawasiliano, wanandoa wengi hawana guts za kuambiana ukweli au kuwekana chini kujadili mambo yanayowahusu, matokeo yake mmoja akizidiwa nguvu anaanza tu kujifeel inferior, helpless as a result and create a kind of depression! hali hiyo inakuwa ni ugonjwa mbaya kwenye mapenzi, na pindi akipata mtu anaemjali, anamsikiliza na kumshauri, anajenga tabia ya kumuamini na hata ck ya kuanza katabia ka kucheat ataona kama anamtendea ukarimu mtu wake wa karibu! (hii inawakumba zaidi wanawake)" .............mwisho wa kunukuu.
Na hata baada ya kupekua pekua na kuchakura chakura nikakutana na nukuu nyingine hapa;
............"Ukosefu wa Mawasiliano (communication) kuhusu matatizo mbalimbali ya ndani ya ndoa mf. kutoridhishwa kihisia, kitendo na hata ukosekanaji wa kujaliana inaweza haribu ndoa na kuiteketeza kabisa na kupelekea mwenzi wako kutoka nje ya mahusiano ya kindoa"...........Mwisho wa kunukuu
Na kama ambavyo tumeona mwenye mada ya MADAM T ya "Siku ya Kwanza ya kucheat, ulimtazamaje mwenzi wako" tumepata picha kuwa kwa sasa kuna wanawake wengi wenye ndoa zao ambao wanacheat na imekuwa ni kawaida..
Sasa ni sahihi kusema kutokana na hayo maelezo hapo juu, tutakuwa sahihi tukisema kuwa for every cheating wife, the blame should go to the husband kwanza kabla ya kumtafuta mchawi?.
NB: There is no "Genuine" reason for cheating
Katika kupitia pitia mada mbalimbali humu jamvini, nimekutana na post hii ya muhanga ambayo imenifanya niwaze mengi kiasi cha kujikuta nachanganyikiwa na hivyo kuona ni vema mkanisaidia kunijuza walimu wangu. Recently kumekuwa na mada nyingi zihusuzo kucheat ambazo zimekuwa zikichangiwa sana na bado kujikuta hatujapata muafaka kutokana na kuwa kwa inavyoonekana kuna uafadhali/unafuu/tolerance flani kama anayecheat atakuwa ni mume kuliko mke (at least hii ndo picha niliyoipata mimi MJ1)...............ambao wengi wamekuwa wakionekana kuwa wana what they regard kama "Genuine" reasons i.e. Mke mjeuri, ana dharau, hanitumikii e.t.c
Kwa upande wa wanawake wanaocheat, the only 'Genuine' reason ambayo angalau imeonekana kukubalika ni kutokujaliwa, mume kuwa buzy na mambo mengine, kumuignore kama anavyoiweka Dada muhanga katika post yake hii, nanukuu...........
.................."no what? changamoto mojawapo kubwa kwenye ndoa ni mawasiliano, wanandoa wengi hawana guts za kuambiana ukweli au kuwekana chini kujadili mambo yanayowahusu, matokeo yake mmoja akizidiwa nguvu anaanza tu kujifeel inferior, helpless as a result and create a kind of depression! hali hiyo inakuwa ni ugonjwa mbaya kwenye mapenzi, na pindi akipata mtu anaemjali, anamsikiliza na kumshauri, anajenga tabia ya kumuamini na hata ck ya kuanza katabia ka kucheat ataona kama anamtendea ukarimu mtu wake wa karibu! (hii inawakumba zaidi wanawake)" .............mwisho wa kunukuu.
Na hata baada ya kupekua pekua na kuchakura chakura nikakutana na nukuu nyingine hapa;
............"Ukosefu wa Mawasiliano (communication) kuhusu matatizo mbalimbali ya ndani ya ndoa mf. kutoridhishwa kihisia, kitendo na hata ukosekanaji wa kujaliana inaweza haribu ndoa na kuiteketeza kabisa na kupelekea mwenzi wako kutoka nje ya mahusiano ya kindoa"...........Mwisho wa kunukuu
Na kama ambavyo tumeona mwenye mada ya MADAM T ya "Siku ya Kwanza ya kucheat, ulimtazamaje mwenzi wako" tumepata picha kuwa kwa sasa kuna wanawake wengi wenye ndoa zao ambao wanacheat na imekuwa ni kawaida..
Sasa ni sahihi kusema kutokana na hayo maelezo hapo juu, tutakuwa sahihi tukisema kuwa for every cheating wife, the blame should go to the husband kwanza kabla ya kumtafuta mchawi?.
NB: There is no "Genuine" reason for cheating