DEVINE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 536
- 86
Umeamka saa 11 alfajiri ,unahisi kuna mtu amelala pembeni yako unajikagua unagundua umevaa kufuli tu na si kawaida na jana yake unakumbuka ulilala pekee yako,si ivyo tu na si kawaida yako kutumia kilevi.Kwa haraka unageuka na unakumbana na mtu kumchunguza vizuri ni mwanamke/mwanaume yule uliyekuwa unatamani awe mpenzi wako,ikiwa naye pia anakufuli tu unamuamsha na kumuuliza imakuwaje? Anashtuka anajishangaa na kukujibu ajui pia amefikaje pale. Ivi itafikiria nini? Angali hapo ulipo ni chumbani kwako?
.Je utafurahi kwa kuwa ulikuwa unatamani awe mpenzi wako?
.Je utakasirika kwani umeshiriki naye penzi bila wewe kujielewa na kumchukulia hatua za kisheria?
.Je utashituka na kutoka nduki,kwani itakuwa ni ajabu mtu yule kuwepo pale?
Au wewe utaamua nini? Kumbuka yule mtu pale ni yule unayempenda sana na ulikuwa unatamani uwe naye,ila huna mazoea naye na hukuwahi kumtamkia unampenda.
.Je utafurahi kwa kuwa ulikuwa unatamani awe mpenzi wako?
.Je utakasirika kwani umeshiriki naye penzi bila wewe kujielewa na kumchukulia hatua za kisheria?
.Je utashituka na kutoka nduki,kwani itakuwa ni ajabu mtu yule kuwepo pale?
Au wewe utaamua nini? Kumbuka yule mtu pale ni yule unayempenda sana na ulikuwa unatamani uwe naye,ila huna mazoea naye na hukuwahi kumtamkia unampenda.