Maumivu yanayohama mgongoni na kiunoni

Optimists

JF-Expert Member
Oct 17, 2021
289
706
JF doctor habari.

Week iliyopita jumanne nilijikuta napata uchovu mkubwa sana, na maumivu kwenye mabega.

Uchovu ulidumu siku mbili tu, then nikaanza kupata maumivu kiunoni na mgongoni kwenye spinal cord, yaani maumivu yanapokezana, yanaweza anza kiunoni then baadae yanaacha yanahamia mgongoni.

Hivi wakuu nani ana experience na hiyo kitu? Ni siku ya tano sasa.
 
Mwanzo nilidhani ni infection baada ya kulala na mwanamke mwezi uliopita, nimeenda kupima leo niko vizuri, nashindwa kuelewa aya maumivu chanzo chake ni nini?
 
Fanya mazoezi ya kunyoosha mgongo.

Inama kuelekea magotini kisha uwe unanyanyua mikono mmoja baada ya mwingine kwenye uelekeo tofauti.

Mimi ni bush dokta lakini kwa ushauri zaidi fika hospital kabla tatzo halijawa kubwa.
 
Back
Top Bottom