Optimists
JF-Expert Member
- Oct 17, 2021
- 289
- 706
JF doctor habari.
Week iliyopita jumanne nilijikuta napata uchovu mkubwa sana, na maumivu kwenye mabega.
Uchovu ulidumu siku mbili tu, then nikaanza kupata maumivu kiunoni na mgongoni kwenye spinal cord, yaani maumivu yanapokezana, yanaweza anza kiunoni then baadae yanaacha yanahamia mgongoni.
Hivi wakuu nani ana experience na hiyo kitu? Ni siku ya tano sasa.
Week iliyopita jumanne nilijikuta napata uchovu mkubwa sana, na maumivu kwenye mabega.
Uchovu ulidumu siku mbili tu, then nikaanza kupata maumivu kiunoni na mgongoni kwenye spinal cord, yaani maumivu yanapokezana, yanaweza anza kiunoni then baadae yanaacha yanahamia mgongoni.
Hivi wakuu nani ana experience na hiyo kitu? Ni siku ya tano sasa.