Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,448
- 16,314
Mwandishi wa habari anayeogopa maoni ya followers wake atawezaje kutoa maoni au kuhabarisha jamii bila kuwa na double standard?
Mwandishi wa habari anayefanyia "Censorship" posts zake kwa hakika atazipa kipaumbele habari ambazo ziko censored tuu, kamwe hatakuwa fair kwenye kuihabarisha jamii.