Tuvako
Member
- May 19, 2012
- 82
- 13
very sad, ...damu ya huyu muandishi slaa lazima ailipe ! Poleni sana familia nasikia kulia kabisa
wewe naona unahitaji kutukanwa..naomba sana usinipandishe hasira
very sad, ...damu ya huyu muandishi slaa lazima ailipe ! Poleni sana familia nasikia kulia kabisa
Mtiririko wa matukio kabla polisi hawajautoa uhai wa marehemu Mwangosi (RIP)
Picha zaidi zinakuja (mtandao upo slow)
Wakuu hizi picha mkiangalia kwa makini kuna nyuso zinajitokeza. Katika picha hii ya mwisho kuna shahidi muhimu ambaye amevaa kiraia, amejitokeza kwenye picha ya sita kutoka juu. Huyu haiyumkiniki ameshuhudia mlipuko na msambaratiko wa mwili wa marehemu...
Hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe hadi ukweli uanikwe
Hii picha backgroud yake inaonyesha wazi kuwa siyo ya pale kwenye tukio.
Kwanza hata ukiangalia rangi ya ardhi inatofautiana na zile za kwanza, pili hii nyumba ina bati juu wakati zile za kwanza ni kama tiles vile, then hapakuwa na Polisi mwenye uniform hizi za huyo anayeonekana nyuma yake kwenye picha za mwanzo, wote walikuwa wamevalia zaidi za FFU. Aina ya miti na majani ni pia ni tofauti sana.
Chunguzeni zaidi mtaona kuwa mwenye kuileta hii picha hapa anataka kupotosha ukweli tu Jambo ambalo si zuri.
No doubt huyu ndo muuaji. Tazama damu kwenye kofia na hiyo miwani. Nimeangalia kwa makini ile picha pale Mwangosi alipokuwa anapigwa, askari pekee aliyekuwa amevaa kofia ya namna hii, NI HUYU PEKEE. Na nyie hakikisheni