Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,336
- 24,232
Okelli yes, Babu no!Wala Karume hakuwa jemadari wa mapinduzi yale, majemadari walikuwa wawili: John Okelo na Abdulrahaman Mohamed Babu.
Huyu alikabidhiwa uongozi kwa vile tayari alikuwa ni Rais wa Afro Shiraz Party. Kwanza hata siku yenyewe ya Mapinduzi alikuwa Dar es Salaam.