Nzenzu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 858
- 164
yeah! hili nalo ni jambo la kuhoji, yawezekana kuna baadhi ya matukio aliyadaka mwenyewe hasa yale mazungumzo ya mwisho na KAMANDA MUUAJI.Tusubiri Tume, sorry, Kamati ya Nchimbi nayo ituletee taarifa yake, tuone kama itafanana/tofautina na hii.
NB: Camera na laptop ya marehemu viko wapi? Inawezekana Daudi Mwangosi ali-film kifo chake mwenyewe!