CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
IGP MWEMA ameunda tume ya kuchunguza mauaji ya raia yaliyofanywa na police kwa ajiri ya nini?????????maana madaktari wameshathibitisha kwamba watanzania hao wameuawa kwa risasi,na tayari police hao4 wauwaji wamekamatwa,sasa tume ya nini??
Si ni bora kesi hiyo wampe yule PILATO aliyetoa hukumu ya SAMAKI wa magufuri jana?
Si ni bora kesi hiyo wampe yule PILATO aliyetoa hukumu ya SAMAKI wa magufuri jana?