Mauaji Kinondoni: Waziri Nchemba amtaka IGP na timu yake kufanya uchunguzi wa kina

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
4,587
579
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi, Mh.Mwigulu Lameck Nchemba amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro kuunda timu ya kuchunguza vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa wanasiasa ikiwemo mauaji yaliyotokea Kinondoni Jijini Dar es salaam.

Waziri Nchemba ametoa maagizo hayo akiwa Mkoani Kagera Wilaya ya Muleba katika Kata ya Kasindaga wakati wa uzinduzi wa uandikishaji wa vitambulisho vya Taifa Mkoani humo

Waziri Dtk. Mwigulu amelitaka Jeshi la Polisi kuchunguza kwa kina tukio hilo na kujua undani wake nini na kuwaambia Wananchi nini kinachoendelea dhidi ya mauaji hayo na mengine ambayo yamekuwa yakiripotiwa.

Mataifa mengine mtu akiuwawa shighuli zote zinasimama, tusiweke haya mazoea ya watu wanapotepotea kama mtu kapuliza dawa ya mbu kama jambo la kawaida tu, wafanye uchunguzi kwa kina kujua nani amehusika na tukio hili. Alisema Waziri Mwigulu

Ameongeza kusema kuwa maswala ya demkrasia huamukiwa kwa peni na karatasi na si kwa panga,lungu wala mkuki.
 
Huenda tukapata kujua mauaji ya kamanda Mawazo, Upigwaji wa Tundu Lisu, Kupotea kwa Ben Saanane, Mwandishi wa Mwananchi, na wengine.

Ninatamani Mheshimiwa Waziri angeagiza tuanze kkwa kumkamata aliyemwonyesha Nape bastola hadharani na afikishwe mahakamani kwa jinai hiyo, badala ya kuishia tu kusema "si askari".

Ingependeza pia kama Mheshimiwa angemalizia katika kipengele cha Demokrasia kwa kusema kwamba " katika uchaguzi wa kesho, wananchi wasibughudhiwe ili mradi hawavunji sheria!.

Naomba aongezee na amalizie kama ninavyotamani iwe. Tutafika tu.
 
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Dr Mwigulu Nchemba amemuagiza mkuu wa jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro na timu yake kufanya uchunguzi wa kina juu ya mauaji yaliyotokea kinondoni jijini Dar es salaam.

Waziri Nchemba ametoa maagizo hayo akiwa mkoani kagera wilaya ya muleba katika kata ya kasindaga wakati wa uzinduzi wa uandikishaji wa vitambulisho vya Taifa mkoani humo

Waziri Dr Mwigulu amelitaka jeshi la polisi kuchunguza kwa kina tukio hilo na kujua undani wake nini na kuwaambia wananchi nini kinachoendelea dhidi ya mauaji hayo na mengine ambayo yamekuwa yakiripotiwa.


Mataifa mengine mtu akiuwawa shighuli zote zinasimama, tusiweke haya mazoea ya watu wanapotepotea kama mtu kapuliza dawa ya mbu kama jambo la kawaida tu, wafanye uchunguzi kwa kina kujua nani amehusika na tukio hili. Alisema Waziri Mwigulu

Ameongeza kusema kuwa maswala ya demkrasia huamukiwa kwa peni na karatasi na si kwa panga,lungu wala mkuki.
Mmnm siamini kama kayasema haya
 
Kwani muda wote huo alikuwa anasubiri nini, au alisubiri aalikwe kwenye uzinduzi wa mradi wowote ndio apate pa kusemea?
Jana mwenzake aliona ni bora atoe salamu za rambirambi kwa upinzani wa nchi jirani, kuliko huyo mpiga kura na nguvu kazi ya taifa lake iliyopotea...
 
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Dr Mwigulu Nchemba amemuagiza mkuu wa jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro na timu yake kufanya uchunguzi wa kina juu ya mauaji yaliyotokea kinondoni jijini Dar es salaam.

Waziri Nchemba ametoa maagizo hayo akiwa mkoani kagera wilaya ya muleba katika kata ya kasindaga wakati wa uzinduzi wa uandikishaji wa vitambulisho vya Taifa mkoani humo

Waziri Dr Mwigulu amelitaka jeshi la polisi kuchunguza kwa kina tukio hilo na kujua undani wake nini na kuwaambia wananchi nini kinachoendelea dhidi ya mauaji hayo na mengine ambayo yamekuwa yakiripotiwa.


Mataifa mengine mtu akiuwawa shighuli zote zinasimama, tusiweke haya mazoea ya watu wanapotepotea kama mtu kapuliza dawa ya mbu kama jambo la kawaida tu, wafanye uchunguzi kwa kina kujua nani amehusika na tukio hili. Alisema Waziri Mwigulu

Ameongeza kusema kuwa maswala ya demkrasia huamukiwa kwa peni na karatasi na si kwa panga,lungu wala mkuki.
Mwigulu huyu huyu au mwingine? maajabu haya
 
Kila kitu wanachunguza...
Mangapi wamechunguza wakatupa majibu yasiyo na utata?
Hivi hao wanaookotwa kwenye fukwe bado ni wahamiaji haramu, haswa tukioanisha na tukio la hao jamaa wa kinondoni waliookotwa kwenye fukwe mmoja akiwa amejeruhiwa vibaya...!!?!!
 
Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Dr Mwigulu Nchemba amemuagiza mkuu wa jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro na timu yake kufanya uchunguzi wa kina juu ya mauaji yaliyotokea kinondoni jijini Dar es salaam.

Waziri Nchemba ametoa maagizo hayo akiwa mkoani kagera wilaya ya muleba katika kata ya kasindaga wakati wa uzinduzi wa uandikishaji wa vitambulisho vya Taifa mkoani humo

Waziri Dr Mwigulu amelitaka jeshi la polisi kuchunguza kwa kina tukio hilo na kujua undani wake nini na kuwaambia wananchi nini kinachoendelea dhidi ya mauaji hayo na mengine ambayo yamekuwa yakiripotiwa.


Mataifa mengine mtu akiuwawa shighuli zote zinasimama, tusiweke haya mazoea ya watu wanapotepotea kama mtu kapuliza dawa ya mbu kama jambo la kawaida tu, wafanye uchunguzi kwa kina kujua nani amehusika na tukio hili. Alisema Waziri Mwigulu

Ameongeza kusema kuwa maswala ya demkrasia huamukiwa kwa peni na karatasi na si kwa panga,lungu wala mkuki.
Mhhhh, hii ni kauli ya mdomoni. Mbowe aliongea polisi wakasema watamhoji yeye... Tuna drama nyingi sana jeshi la polisi. They are looking popularity kwa kuonekana kwenye vyombo vya habari.
 
Huyu jamaa siku zote alikuwapo wapi,au kwasababu anajua watanzania ni majuha chochote atakachowambia watakikubali...
 
Back
Top Bottom