Matumizi ya Magufuli, tuyajadili

Soma vizuri utajua sijapinga chochote
mimi naonesha tu matumizi yake
na nalinganisha na kwingine...
sawa kwa maana hiyo,lakini kwa mtazamo wangu yupo sahihi kuanza na yale anayoyafikiri kwa haraka na kuona kuwa kuna tija na umuhimu wa kuyafanyia kazi,sina maana kuwa elimu na hayo mengine asiyatazame la hasha ila kuna yale ambayo anaona kama kiongozi yanfaa kuanza kutiliwa mkazo,na uzuri ni kwamba bado anamuda wa kutosha so nivema tukampima katika miaka mitano hii ya kwanza alafu ndo ingekuwa busara kwa hapo baadaye kuja kutoa tathimini za namna hii
 
sawa kwa maana hiyo,lakini kwa mtazamo wangu yupo sahihi kuanza na yale anayoyafikiri kwa haraka na kuona kuwa kuna tija na umuhimu wa kuyafanyia kazi,sina maana kuwa elimu na hayo mengine asiyatazame la hasha ila kuna yale ambayo anaona kama kiongozi yanfaa kuanza kutiliwa mkazo,na uzuri ni kwamba bado anamuda wa kutosha so nivema tukampima katika miaka mitano hii ya kwanza alafu ndo ingekuwa busara kwa hapo baadaye kuja kutoa tathimini za namna hii


Hakuna anaejua baada ya miaka mitano kutakuwa na bajeti hizi
usisahau sehemu ya pesa hizi ni misaada na hakuna gurantee misaada itakuwepo milele
kama kuna namna ya kumshauri tumshauri sasa na ndo tunachofanya
 
sawa hata angeamua kufanya hayo pia ungekuja hapa na wazo tofauti na hayo ,sijui unatakaje mkuu ili nafsi yako iridhike,ifike hatua wandugu tuone kuwa kuna haja ya kuacha kwanza yafanyike alafu ndiyo tuje na mapendekezo,kuliko hii ya kujifanya kila mtu anamaono

mimi nafikiri tunahitaji vuguvugu la mabadiliko kiuchumi la kitaifa. anafanya vizuri kushughulikia UFISADI na wezi.
Unapsesma viwanda na kilimo cha kisasa tena especially AGRITECH.

misingi yake ni transportation and energy. Watanzania wako tayari kabisa kumuunga mkono lkn kazi yake ni kuweka national flamework of economic epidemic.
kama anavyoamini katika Design and Build hii idea ije katika uchumi pia Majipu na Nationalwise Maendeleo na kusaidiwa na proactive officials sio reactive viongozi ambao ndio tunaowaona kila kukicha.
 
Kama Vision ya Raisi Dar es Salaam ndio Tanzania sijui tutegemee nini wa Mikoa Mingine ,Wazungu wangekua na mentality hiyo Basi Newyork ingekua peponi ,Los Angels, Washington nk zingekua vijiji tu
Ndio maana mnajengewa Daraja la Coco beach to Aghakan kwa 200B ila Dodoma wanashindia viwavi
 
Daraja la kigamboni bilioni 200
daraja la furahisha mwanza bilioni 200 (nakaribisha masahisho)
daraja la coco beach-bilioni 200 zimetengwa
barabara ya dar-chalinze-zaidi ya bilioni 200
mabasi yaendayo kasi -zaidi ya bilioni 200
flyover ya ubungo bilioni 100

Iwapo serikali ingeamua kujenga treni za umeme
badala ya mabasi yaendayo kasi ingetumia dollar milion 430
kwa km 32...yaani karibu Dar yote ingekuwa unapanda treni dakika 10
uko popote pale hata kigamboni treni ingefika kupitia Mbagala..
hii ni link ya Ethiopia inaelezea gharama za treni hizo na tayari wenzetu wanatumia..
Ethiopia gets first sub-Saharan Africa metro - CNN.com

na kama hizo bilioni zingetumika kujenga vyuo vikuu
UDOM gharama zake ilikuwa kiasi cha bilioni 25....
Mkuu The Boss, Tanzania tuna tatizo kubwa la ku set priorities zetu kwenye baadhi ya projects. Tumekopeshwa dola bilioni 1.2 kujenga bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar lenye urefu wa kilomita 487 wakati Ethiopia wamejenga bomba kubwa zaidi, refu zaidi kilomita 550 for less na condition ni harsh kuliko Mtwara Dar!.

Rwanda, Burundi na Uganda ni land locked countries tunazopakana nazo, tuna reli ya kati hadi Mwanza na kigoma, tulihitaji kuiongeza tuu kufika Bukoba hadi Uganda, ile ya Kigoma tukaipeleka Rwanda na Burundi, mizigo yao yote ikashukia bandai ya Dar, wakati sisi tunang'aa macho "The Coalition of the Willing" wanajenga reli kutoka bandari ya Mombasa, kupitia Uganda hadi Rwanda na Burundi, ikikamilika kuna mzigo utapita tena Dar?!.

Watalii wengi wanaoshukia KIA ni ili kupanda Mlima Kilimanjaro, unachukua muda wa 2 hrs drive kutoka KIA hadi Marangu pa kupandia mlima. Kenya wanajenga uwanja chini ya mlima kwa upande wao, it will take just 30 min kutoka Kenya hadi pale Marangu, difference ya 90 min ni big deal kwa mtalii!.

Tunaiacha ATCL ife, reli kwisha, wakati tungechagua priorities zetu, tungejenga metro yetu.

Kwa hili tusimlaumu JPM kakuta kila kitu kimeishapangwa!.

Pasco
 
Mkuu, umesema kitu kimenigusa. Kwa kweli express railway to Morogoro ingepunguza sana jam ya Dar. In fact, JPJM anatakiwa kuweka vipaumbele kwa mujibu wa mipango iliyopo. Vinginevyo tunaengelea kuthibitisha kuwa ni mkurupukaji.
jiji lile kama lilikosewa,
Ni huyu aliyekua akishinikiza kwenye vikao vya bajeti wizara yake ipewe hela nyjngi kwani nyingine hazina umuhimu!!!

Watu wenye akili wameshaanza kuchoka na huyu bwana....

Rais sio nyapara ndio maana hadi Leo tusio mashabiki hatujui ni ipi vision ya serikali yake....
Vision yake kama ni Hapa kazi tu, bado haileweki, haijibu who,why,what,where,when na how. wataalamu wanashauri vision lazima iwe inaeleweka hata akipewa mtoto wa darasa la pili.

Nauona mzigo wa kuifikisha mahala pazuri tanzania katika sentensi zake, lakini kwa njia ipi au mikakati ipi bado haijaeleweka. Mzigo huu wote ni matokeo ya watangulizi wake.
 
Mkuu The Boss, Tanzania tuna tatizo kubwa la ku set priorities zetu kwenye baadhi ya projects. Tumekopeshwa dola bilioni 1.2 kujenga bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar lenye urefu wa kilomita 487 wakati Ethiopia wamejenga bomba kubwa zaidi, refu zaidi kilomita 550 for less na condition ni harsh kuliko Mtwara Dar!.

Rwanda, Burundi na Uganda ni land locked countries tunazopakana nazo, tuna reli ya kati hadi Mwanza na kigoma, tulihitaji kuiongeza tuu kufika Bukoba hadi Uganda, ile ya Kigoma tukaipeleka Rwanda na Burundi, mizigo yao yote ikashukia bandai ya Dar, wakati sisi tunang'aa macho "The Coalition of the Willing" wanajenga reli kutoka bandari ya Mombasa, kupitia Uganda hadi Rwanda na Burundi, ikikamilika kuna mzigo utapita tena Dar?!.

Watalii wengi wanaoshukia KIA ni ili kupanda Mlima Kilimanjaro, unachukua muda wa 2 hrs drive kutoka KIA hadi Marangu pa kupandia mlima. Kenya wanajenga uwanja chini ya mlima kwa upande wao, it will take just 30 min kutoka Kenya hadi pale Marangu, difference ya 90 min ni big deal kwa mtalii!.

Tunaiacha ATCL ife, reli kwisha, wakati tungechagua priorities zetu, tungejenga metro yetu.

Kwa hili tusimlaumu JPM kakuta kila kitu kimeishapangwa!.

Pasco

So whats the way forward?

We can't just shift the blames.

He is the president now.
 
Mkuu The Boss, Tanzania tuna tatizo kubwa la ku set priorities zetu kwenye baadhi ya projects. Tumekopeshwa dola bilioni 1.2 kujenga bomba la gesi kutoka Mtwara hadi Dar lenye urefu wa kilomita 487 wakati Ethiopia wamejenga bomba kubwa zaidi, refu zaidi kilomita 550 for less na condition ni harsh kuliko Mtwara Dar!.

Rwanda, Burundi na Uganda ni land locked countries tunazopakana nazo, tuna reli ya kati hadi Mwanza na kigoma, tulihitaji kuiongeza tuu kufika Bukoba hadi Uganda, ile ya Kigoma tukaipeleka Rwanda na Burundi, mizigo yao yote ikashukia bandai ya Dar, wakati sisi tunang'aa macho "The Coalition of the Willing" wanajenga reli kutoka bandari ya Mombasa, kupitia Uganda hadi Rwanda na Burundi, ikikamilika kuna mzigo utapita tena Dar?!.

Watalii wengi wanaoshukia KIA ni ili kupanda Mlima Kilimanjaro, unachukua muda wa 2 hrs drive kutoka KIA hadi Marangu pa kupandia mlima. Kenya wanajenga uwanja chini ya mlima kwa upande wao, it will take just 30 min kutoka Kenya hadi pale Marangu, difference ya 90 min ni big deal kwa mtalii!.

Tunaiacha ATCL ife, reli kwisha, wakati tungechagua priorities zetu, tungejenga metro yetu.

Kwa hili tusimlaumu JPM kakuta kila kitu kimeishapangwa!.

Pasco


Anavyojaribu kutatua mambo kwa pupa ndo anaweza kuharibu zaidi
keshatangaza kununua airbus sita
airbus moja dola milioni 75
wakati zipo ndege kubwa za dola milioni 16...
halafu airbus ni lazima mbadili vitu vingi sana
kutoka Boeing tuliyozoea hadi airbus wafanyakazi watahitaji new training..
ni moja ya vitu vilivyofanya ATC ife pia
walikodi airbus huku ma pilot wamezoea Boeing...ikawa shida tupu
 
So whats the way forward?

We can't just shift the blames.

He is the president now.
hiki ndicho kinachofanyika sasa. ndio maana mimi nilishangaa watu wansherekea siku 100 na kupiga makofi.
Ilibidi tujue ndani ya siku mia alitaka kufanya nini, kwa ukubwa gani, na amefanya nini kwa reference ya target aliyojiwekea sio reference ya uozo wa aliyeondoka.
Tumemaliza siku mia, what is the way forward. what is the next milestone? He should communicate his shortlerm plans and targets from ministerial level to a poor woman at the village.
sasa nchi imekaa inasubiri tusikie surprise nyingine.
 
Anasema Darisaramu ndiyo kira kitu, sasa kwa sababu wao (wakuu) wanakaa darisaramu ndiyo maana wameona waujenge mji wao.

The Boss hayo mapato yanayopatikana ni kwa ajili ya kuijenga darisaramu yao wanayoishi.

Jamaa still ana upeo mdogo sana, nilimshangaa alivyokuwa anasifia kujenga daraja la coco beach to aghakhan .

Barabara sita Chalinze-Dar, yaani barabara kuu inayoisambaa from Dar to mikoa mingi TZ na nje ya nchi unajisifu leo kwa three lane. Magu acha utani bana.
Raila ni best yako, nenda hapo Kenya tu ukaangalie ile Thika highway kisha kurudi hapa kichwa kitafunguka coz nikikwambia uende SA utasema huko ni kwa wazungu.
 
So whats the way forward?

We can't just shift the blames.

He is the president now.

Ktk vitu vilivyonifanya nimshushe point Magufuli ni tabia yake yakulalama hovyo!!!

Ameshika nafasi sasa aonyeshe anaweza kuliko kuendelea kupiga kelele tumefikishwa hapa na watubwachache ambao hatutajii na hachukui hatua dhidi yao...

Visionary leader halalamiki!! Huchukua matatizo kama changamoto na kuzifanyia kazi...

Ktk vitu ambavyo Magufuli hana na vitamgharimu ni kukosa intelligence...

Viongozi wanahitaji kuwa na maarifa sana ili kuwaongoza watu wao waende wapi...

Lkn huyu bwana ameonesha zaidi uwezo Wa kusimamia kuliko kuongoza!!!

Huu mfumo Wa one man army ni mbaya na hauna tija ktk dunia hii ya Leo...
 
kwani bajet ya serikal yake si mpaka june mwaka huu? sasa nyny mnalialia nn?
 
Back
Top Bottom