TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Hakuna kumung'unya maneno,kama kweli maneno ya m/kiti wa PAC ndivyo yalivyo,ya kutumia fedha nje ya budget iliyopitishwa na bunge ni UFISADI MKUBWA ambao mh.CHEYO alitakiwa kuwa mkali mithili ya DrSLAA aliyejuruhiwa,kifupi kamati yote ya PAC ilitakiwa ijiuzuru.NADHANI KAMATI HII ANGEPEWA MTU WA CDM