Kuna huyu kiongozi anayeongoza ofisi moja ya umma mkoani ruvuma wilaya ya mbinga huyu c muadilifu kwa kutumia mali ya umma vibaya gari ya ofisi anaitumia kwenda nayo shamba kwa matumizi binafsi na kwa safari hzohzo ndyo alisababisha ikahanguka huko akasaidiwa mambo ya katulia pia amejipangia muda wake wa kazi ikifka saa 7 yy mwisho kutoa huduma je ndyo utaratbu wa serikali?kazi yake yy ni majungu tu mkoani wenzake walevi,mambo kibao yy kwa rushwa namba moja mumtazame huyu anaharbu utendaji wa umma