Matumaini ya wafanyakazi yazikwa: Serikali yagoma kurekebisha sheria ya fao la kujitoa

Inabidi tuanze kampeni za Nyumba kwa nyumba kuiondoa CCM na Uozo wake wote madarakani
wamegusa Pabaya sana
 
Our destiny can not be decided by corrupt and poor leadership system! We workers we have to decide our destiny and we should note that time is now! Tomorrow does not exisist. It is only today that is a reality. Mnyika will come up with a private motion on the subject matter but meanwhile we workers we have to come up with a solution on how we are going to confront the government through the parlimentary session of this month!
 
Kulalama lalama tuu hakusaidii!
Sijui wafanyakazi tunangoja nini kuingia mabarabarani?
Kama kuna mtu yoyote anayefikiria hii sirikali ya wamagamba inaweza kulirudisha fao la kujitoa kirahisi rahisi mtu huyo atakuwa mweu!
Huko sahihi kitu cha kwanza ni kuwaondoa madarakani hawa viongozi wa vyama vya wafanyakazi kwani wangekuwa makini serikali isingechezea wafanyakazi wa Tanzania tuwaige wenzetu wa Afrika kusini kama wanaanza kugoma wa migodi inabidi sekta zote zigome mpaka kieleweke
 
mimi nipo serikalini ninachotaka kukifanya, kuanzia sasa kama sio mzee, mtoto au asiyejiweza sikupatii huduma bila ya kunitoa kidogo, ili niweke maisha yangu vizuri hata ikitokea la kutokea nikafukuzwa kazi au kusimamaisha(tahadhari naamini haitatokea) niwe namaisha mazuri maana nawajuwa wabongo kwa kuchekena kama hujaweka mambo yako vizuri!!!!! fao la kujitoa lilikuwa muhimu sana kwa sekta zotee hasa kwa sisi tulio anza kazi hivi karibuni!!
 
My sugestion is that wherever we are let us make a list of employee and a volunteer in each company should ensure the list is signed by each employee and those lists should be collected or send to Mnyika before the Bunge starts as a proof to the Bunge that no employees were consulted during the preparation of the act. The list of all employees should indicate the relevant contact details especially mobile number and email adress so that upon receiving all the list from various companies/locations we will have organise ourselves throughout the country for none stop demonstration until those who think magogoni is their paradise are out in the street! Through the net we can do a lot and turn upsidedown all the stones! Anybody with additional ideas please contribute so that we can come up with a realistic and professional move!
 
Ee MUNGU wangu ingilia kati kwani hili ni jasho letu,kwanza tunadunduliza kidogo kidogo sasa Serikali nao Wanataka kutudhulumu.Naamini one day will come.
 
Kama wewe ni mtumishi wa umma, fuatilia vizuri: mara ya mwisho mfuko wa hazina kupeleka asilimia ya mwajiri ilikuwa lini. Ushahidi unaonyesha kwamba michango inayowakilishwa kwa sasa ni ya watumishi tu na siyo ya mwajiri. Mifuko pia imetumia fedha nyingi kwenye miradi- hivyo mifuko imetetereka. Kazi kwenu watumishi.
 
Hapo ndio wanapoichimbia kaburi CCM yao maana hii hoja inayohusu maisha yetu imetuunganisha sana watanzania na tuko radhi kabisa kudai fedha zetu liwalo na liwe. Kama fedha ya kampeni za CCM 2015 haijapatikana kwa njia za kifisadi mlizozizoea mtakuwa mnatenda dhambi kubwa sana kudhulumu hata akiba kidogo za hawa watanzania maskini
 
the conquirer mimi niliacha ajira rasmi Desemba 2005 na kuamua kujiajiri; pamoja na uamuzi huo niliamua kuendelea kuchangia akiba yangu ya UZEENI. Kwa nini unafikiri mtu akiacha kazi angali bado kijana apewe kile alichokwisha kuchangia? Uzee utakapofika na hana tena nguvu ndiposa mtakuja na hoja kwamba serikali haiwajali watu wake?.

Bado naona kuna ahaja ya kulinda haki za Watanzania za miaka ijayo badala ya mtindo mnaotaka wa PONDA MALI KUFA KWAJA.
 
Last edited by a moderator:
Walicheza na madr na walimu sasa wamekuja kwa wafanyakazi ivi hawajui kundi la wafanyakazi ni kubwa ambamo walimu na madr ni kama subset tuu
Naona Serikali ina hamu na machafuko
Mbona mr. Dhaifu alishasema hataki kura za mbayuwai, mulitaka afanye nn tena kuthibitisha kauli yake hiyo?
 
Usihofu Jaffu ameshawasilisha hoja hiyo kwa Katibu wa Bunge kufuatia hatua kama hiyo ya J.J Mnyika juzi, Ni lazima itajadiliwa katika kikao kijacho, labda ihujumiwe katika taratibu za kupanga ratiba lakini hiyo itakuwa ni hatua ya kuchelewesha haki ya mtu tu na wala sio kuipoteza. Ni jasho la wafanyakazi ni haki yao, ni lazima fao la kujitoa litoke tu.
 
Kulalama lalama tuu hakusaidii!
Sijui wafanyakazi tunangoja nini kuingia mabarabarani?
Kama kuna mtu yoyote anayefikiria hii sirikali ya wamagamba inaweza kulirudisha fao la kujitoa kirahisi rahisi mtu huyo atakuwa mweu!

Nafikiri hii serikali hawako serious,wanataka kujaribu kuzuia maji ya mto yasifuate mkondo sio!
ushauri wangu bunge likianza tunatakiwa wafanyakazi wote na familia zetu tuhamie Dodoma,
au la tuhamishie nje ya lango la Ikulu ndio wajue tuko serious,maana wafanyakazi tuko wengi,
na wengi tuko sector binafsi hawana la kutufanya kuhusu ajira zetu,kama ni mabomu jinsi tulivyo
wengi watapiga mpaka yataisha.
 
the conquirer mimi niliacha ajira rasmi Desemba 2005 na kuamua kujiajiri; pamoja na uamuzi huo niliamua kuendelea kuchangia akiba yangu ya UZEENI. Kwa nini unafikiri mtu akiacha kazi angali bado kijana apewe kile alichokwisha kuchangia? Uzee utakapofika na hana tena nguvu ndiposa mtakuja na hoja kwamba serikali haiwajali watu wake?.

Bado naona kuna ahaja ya kulinda haki za Watanzania za miaka ijayo badala ya mtindo mnaotaka wa PONDA MALI KUFA KWAJA.

Una Waranty ya kufika miaka hiyo uliyojipangia ya uzeeni?Kama nikilipwa pesa zangu nikazizalisha kwa kuzifanyia
biashara je sitakuwa nimejiandaa kwa ajili ya uzeeni? Acha kuongopea watu haki yangu na kizazi changu nailinda mwenyewe sitaki kuongopewa kwa kisingizio cha kuniwekea akiba wakati watu wengine wanachukua pesa zangu
kwenye mfuko wa jamii na kujitajirisha.Ujinga huo si kwa watanzania sisi wa sasa.
 
Acha propaganda, swala hapa ni hoja ya fao lakujitoa.We dont care who brought it up in the first place.What we all know wabunge wote approved the bill to be the law, and that's where we are. Wabunge wote (ccm,cdm,cuf,tlp,udp,nccr) hawako makini coz they were all caught in surprise after regulation release by the regulator while the law was enacted in the parliarment.
Jst visit the April 2012 bunge hansard n' c the discussions and attendance, you will be suprised.These guys are selfish n' they playing us tricky games.
Watch out, acha ushabiki wa chama hapa.
 
the conquirer mimi niliacha ajira rasmi Desemba 2005 na kuamua kujiajiri; pamoja na uamuzi huo niliamua kuendelea kuchangia akiba yangu ya UZEENI. Kwa nini unafikiri mtu akiacha kazi angali bado kijana apewe kile alichokwisha kuchangia? Uzee utakapofika na hana tena nguvu ndiposa mtakuja na hoja kwamba serikali haiwajali watu wake?.

Bado naona kuna ahaja ya kulinda haki za Watanzania za miaka ijayo badala ya mtindo mnaotaka wa PONDA MALI KUFA KWAJA.

hivi wewe unaongea nini? nawakulima wale kijijini Serikali inawawekea akiba? make kunawazee wengi tu hawajiwezi je umeona kunamsaada wowote kwao?
 
Hivi wakulaumiwa ni nani? Maana sheria inayotumiwa sasa ilipitishwa na wabunge hao hao waliochaguliwa na wafanyakazi. Najua inauma lakini tuna kula matunda ya maamuzi yetu mabaya.

now that we are learning from the past mistake, I foresee the real change of Tanzania.
 
nadhan wafanyakazi wote tunajua haki yetu haitapatikana bungeni bali kwenye sanduku la kura uchaguzi ujao!

HAPANAAAA - haki haitapatikana katika sanduku la kura....!!! Unakumbuka Kura zilivyochakachuliwa kwa mtutu wa bunduki.

Kwa kura!!!!!!! Thithiem itatawala mileleeeee.

Kitu cha kufanya kwa wafanyakazi ni kuandamana. Mbona waislamu wanaandamana na wanawezaaaaaa.

Sisi wafanyakazi tena wasomi tunashindwa niniiiii
 
Back
Top Bottom