Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Kata ya Soni, jimbo la Bumbuli
Kura: 4,114
@MagufuliJP (CCM): 2,985
@edwardlowassatz (Chadema): 1,106
#tanzaniadecides

9:18am -

Kata ya Nkongoi, jimbo la Bumbuli
Kura: 2,096
@MagufuliJP (CCM): 1,728
@edwardlowassatz (Chadema): 343
#tanzaniadecides

Kata ya Vuga, jimbo la Bumbuli
Kura: 2,923
@MagufuliJP (CCM):2,470
@edwardlowassatz (Chadema): 437
#tanzaniadecides

9:22am - 26 Oct 15

Kata ya Usambara, jimbo la Bumbuli
Kura: 1,100
@MagufuliJP (CCM): 1,090
@edwardlowassatz (Chadema): 8
#tanzaniadecides

9:22am - 26 Oct 15
Kata ya Bumbuli, jimbo la Bumbuli
Kura: 3,175
@MagufuliJP (CCM): 2,772
@edwardlowassatz (Chadema): 386
#tanzaniadecides

Kata ya Mahezangulu, jimbo la Bumbuli
Kura: 2,083
@MagufuliJP (CCM): 1,650
@edwardlowassatz (Chadema): 424
#tanzaniadecides

Kata ya Tamota, jimbo la Bumbuli
Kura: 2,409
@MagufuliJP (CCM): 2,092
@edwardlowassatz (Chadema): 317
#tanzaniadecides

Kata ya Milingano, jimbo la Bumbuli
Kura: 2,218
@MagufuliJP (CCM): 1,689
@edwardlowassatz (Chadema): 515
#tanzaniadecides

Kata ya Kwemkomole, jimbo la Bumbuli
Kura: 1,089
@MagufuliJP (CCM): 967
@edwardlowassatz (Chadema): 118
#tanzaniadecides

9:10am - 26 Oct

Kata ya Mayo, jimbo la Bumbuli
Kura: 1,289
@MagufuliJP (CCM): 1,165
@edwardlowassatz (Chadema): 119
#tanzaniadecides
 
Mbeya mjini kati ya kata 36 jimbon chadema wamechukua kata 26 na ccm kata 9 na kata moja ya uyole uchaguzi uliahirishwa mgombea wa ccm alifariki kipindi cha kampeni.
Ubunge matokeo ya awali yanaonesha Joseph mbilinyi(sugu) anaongoza
 
Kwa hiyo unataka tupige kelele? Siai ni watu wa mikakati zaidi. Endeleeni kupiga kelele mkichoka mtanyamaza. Magufuli ushindi ni daima
Angalau wewe umejitokeza wenzako wanasikilizia kwa mbali,

Vumilieni hata sisi tulikuwa bench.
 
Kwa hiyo unataka tupige kelele? Siai ni watu wa mikakati zaidi. Endeleeni kupiga kelele mkichoka mtanyamaza. Magufuli ushindi ni daima
Mikakati tena Mkuu, sio kutegemea kura kama zitatosha !!! Anyway, hata hivyo Magufuli ni Mtendaji Mzuri kama Bunge litakuwa zuri, wale Wabunge wasiona uwezo wa kuchambua taarifa za Bunge, wanasubiri tu kusema ndio waondoke ili Tanzania isonge mbele kwa "Hapa Kazi Tu"
 
hali inavyojidhirihisha mpaka sasa hasa kanda ya ziwa magufuli amejizolea ushindi mnoono pamoja na wabunge wa ccm


hii inathibitica mikoa ya kagera,muleba,geita nk
:lock1:

Hivi Muleba ni mkoa nao?
 
Rombo kuna maandamano vijana wanadai kata moja iliyochukuliwa na ccm imechakachuliwa...chadema wamechukua kata 27 kati ya kata 28 zilizopo ccm wamepata kata 1 ..so vijana wanadai hakii
 
Kata ya Ngarenaro, jimbo la #Arusha Mjini
Kura: 6,764
@MagufuliJP (CCM): 1,646
@edwardlowassatz (Chadema): 5,097
#tanzaniadecides


9:46am - 26 Oct 15

Kata ya Sinoni, #Arusha Mjini
Kura: 13,077
@MagufuliJP (CCM): 4,216
@edwardlowassatz (Chadema): 8,766
#tanzaniadecides

9:47am - 26 Oct 15

Kata ya Olmoti, jimbo la #Arusha Mjini
Kura: 2,992
@MagufuliJP (CCM): 1,244
@edwardlowassatz (Chadema): 1,739
#tanzaniadecides

9:52am - 26 Oct 15

Kata ya Olasiti, jimbo la #Arusha Mjini
Kura: 7,456
@MagufuliJP (CCM): 2,080
@edwardlowassatz (Chadema): 5,344
#tanzaniadecides


9:52am - 26 Oct 15
 
CCM waliona mbali sana kwa kumtosa Lowassa Mbowe anawaaminisha watu wazima eti wazungushe mikono hewani waimbe mabadilikooooo Lowassaaaaa masikini ya Mungu watu nao wanamfuta Mbowe nuksi sana anajua kucheza na akili za watu ngoja Lowassa akachunge ng'ombe zake.

Mbowe jana kaenda Dubai
 
wadau kama mtakumbuka wiki chache zilizopita Azam Tv walituaminisha kuwa watatupatia habari zote za uchaguzi mkuu...nakutuaminisha kuwa wao watakua kituo chetu cha ychaguzi...pamoja na kuwa na technology ya hali ya juu tumeambulia kuonyeshwa ma graphs na m charts ya uchaguzi wa mwaka 2010 ambayo ni irrelevant kabisa....siku nzima wanarudi mambo yale yale yaani its funking boring....waandishi wao wanaogopa hata kutangaza matokeo ya udiwani na ubunge...kuna irregularities nyingi kwenye uchaguzi huu ambao wananchi tunahitaji kuyafahamu...hongera sana ITV pamoja kutokua na technology ya hali ya juu at least mnatupa walaji wenu kile tunachotarajia...kweli nyinyi ni Super Brand
 
Siyo wewe tuu hata mimi wame invest nothing hamna kitu wanachofanya zaidi ya kuibeba ccm na aibu yao.watangazaji wao hawatupi actual sitution kwenye majimbo zaidi ya uongo...nimewadharau sana wameshindwa kusimamia weledi
 
Back
Top Bottom