tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Kama ilivyo kawaida serikali yetu huanzisha mipango kabambe ambayo kwa sababu moja au nyingine utekelezaji wake huwa mgumu.Miaka michache iliyopita serikali ilikuja na mpango wa KILIMO KWANZA. Ili kukamilisha azma hiyo power tilers na matrekta yaliagizwa kwa wingi nchini ili wakulima waweze kuyanunua.
Jambo la kusikitisha ni kwamba yale yaliyopelekwa kwenye 'yard' ya Dodoma ni mengi na hayanunuliwi. Kwa sasa yamesongwa na kufunikwa na nyasi ndefu. Inasikitisha, na pengine naweza kusema serikali ilikurupukia mpango huo.
Jambo la kusikitisha ni kwamba yale yaliyopelekwa kwenye 'yard' ya Dodoma ni mengi na hayanunuliwi. Kwa sasa yamesongwa na kufunikwa na nyasi ndefu. Inasikitisha, na pengine naweza kusema serikali ilikurupukia mpango huo.