Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 78
Jambo kubwa hapa ni kutumia vyombo vya Habari na pia wangejaribu kuuliza ni nani fisadi kati EL na RA maana tunachanganyikiwa na kuona ni chama gani kinkumbatia ufisadi katika Taifa nletu maana kuna kila dalili za kama yale ya mwaka 2005 kujirudia mwaka huu katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu