Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Nani alikuambia hakupata hizo percentage NEC hadi leo hawataki kuonyesha the actual results.kwa kukumbusha tu: Gazeti la mwananchi lilikusanya kura za maoni kipindi cha uchaguzi kuuliza nani anafaa kuwa rais, slaa aliongoza kwa zaidi ya 67%, ukibase argument yako kwa tafiti kama ile unakuwa uko far from reality kwa kuwa gazeti hili linafahamika habari zake sio independent kwa hiyo lazima na wapenzi wake sio neutral. In return hali ikawa tofauti.
Ni hayo tu!