gerald daniel
Member
- Jan 6, 2012
- 8
- 1
Matokeo yaliyotangazwa na menyekiti wa sensa taifa yanasomeka hivi jumla tuko 44,929,002. Tanzania bara ni 43,625,434 na Tanzania Zanzibar ni 1,303,568. unaweza ukanifollow on facebook kwa maelezo zaidi......................Asante na maandalizi mema ya mwaka 2013