Nobody knows tomorrow
Member
- Jul 14, 2011
- 22
- 2
Rais Kikwete amezunguka dunia nzima sasa akipigia debe wawekezeji Wakubwa kuja kuwekeza nchini kwa kile anachodai ni kuongeza uwezo wa kuzalisha chakula. Check Matokeo katika nchi nyingine then pima kama kuna umuhimu wa wewe kukaa kimya wakati jamaa anatudanganya.
About Land Grabbing- Stop Africa Land Grab
About Land Grabbing- Stop Africa Land Grab