jaffari yogo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 685
- 148
Changanya maji ya betri na omo pamoja na vim kidogo unywe itaanza kufutika kwa ndani baada ya dkk 10
Acha uongo wewe sema hujui
Changanya maji ya betri na omo pamoja na vim kidogo unywe itaanza kufutika kwa ndani baada ya dkk 10
FYI:wana UKAWA ushindi upo pale pale, CCM must goooooo
Hii results imeitengeneza wewe. Kikubwa ni kuwa kati Lowasa na Magufuli hakuna atayemshinda mwenzie kwa asilimia zinazofika kumi
Ulitegemea wanywa VIROBA wakupigieni kura huku hata kujiandikisha hakuwa wamejiandikisha. Mmeliwa pesa zenu sasa katafuteni benki mkpo na kulipa fedha za watu.ya kweli maana mi sina hamu na tume
Ubunge
CCM - 104
CDM - 28
Urais
Magufuli - 59%
Lowassa - 39%
Ndio hivyo tena.
Tanga mjini ngome yenu na tumewachapa
bado kujitangazia ushindi,bado majimbo kibao.maana navyo jua majimbo yapo Mia mbili na nyingi.
Ingawa tunajipa moyo namna hii lakini watanzania wametusaliti vyakutosha tu
Nimesimamia uchaguz hapa nilipo wino umechafua mikono yangu mpaka inakera....hivi huu wino utachukua muda gan kufutika?au kuna means ya kuuondoa?
Wadau msaada tafadhari
Nimesimamia uchaguz hapa nilipo wino umechafua mikono yangu mpaka inakera....hivi huu wino utachukua muda gan kufutika?au kuna means ya kuuondoa?
Wadau msaada tafadhari
Kuna Mwl. wa cdm kamuangusha waziri chiza, hivyo mpaka sasa wabunge wa upinzani kigoma ni wawili, kafulila bado anapambana.Mbunge mpaka sasa ni zitto tu, machali mbali ya kukimbia NCCR na kumfuata zitto ACT amepoteza jimbo jimbo limeenda CCM, zitto hakumpambania kabisa na lazima awe pekee bungeni, kama alivyowapambania kina kafulila wa nccr 2010 akiwa chadema na kusababisha kigoma nzima kubaki peke yake, na sasa kigoma nzima imerudi ccm kasoro kwa zito tu.
Mbunge mpaka sasa ni zitto tu, machali mbali ya kukimbia NCCR na kumfuata zitto ACT amepoteza jimbo jimbo limeenda CCM, zitto hakumpambania kabisa na lazima awe pekee bungeni, kama alivyowapambania kina kafulila wa nccr 2010 akiwa chadema na kusababisha kigoma nzima kubaki peke yake, na sasa kigoma nzima imerudi ccm kasoro kwa zito tu.
Nafikiri inategemea na chombo cha usafiri unachotumia na kama kina gear zaidi ya moja, na aina ya gear transmission.
Sasa wao wanaleta mbwembwe while chombo chenyewe kina option chache subiri uone
Mkuu ungeiweka hivi: Lowassa ana uhakika wa kushinda mikoa mitatu tu kwa Tanzania bara nayo ni Arusha, Kilimanajaro na Manyara. Na pengine Manyara inaweza kuwa hati hati.Mikoa ambayo Magufuli atamchakaza lowassa...
Tabora
Morogoro
Mwanza
Dodoma
Tanga
Mbeya
Kagera
Arusha ni lowassa lakini sio kwa gape kubwa
Dar ni 50 kwa 50
Haya ndio yale majimbo ya kuamua mshindi.
HATUNYWI SUMU ....HATUJINYONGI...!!