Mtanzania yoyote aliye amka na kuujua ukweli hizi ni habari njema njema sana kuzisikia masikioni.
Mkuu umeniacha hoi asee dah! Jf kuna watu.Fanya hivi: cc Nape Nnauye ili aweze kupata ujumbe mara apatapo muda. Wajuha tena, huyu ni mtu mzito mara nyingi ametingwa na majukumu mepesi hasa haya mapya ya kuthibitisha vyeti vya Mh. John Mnyika
Tayari mzoga ushaanza kutoa harufu. Ptuuuuuu!!14 bila kupingwa kwa vyenu vingapi?
Mnaleta hesabu nusu nusu, mnamdanganya nani zaidi ya nafsi zenu?
14 bila kupingwa kwa vyenu vingapi?
Mnaleta hesabu nusu nusu, mnamdanganya nani zaidi ya nafsi zenu?
Fanya hivi: cc Nape Nnauye ili aweze kupata ujumbe mara apatapo muda. Wajuha tena, huyu ni mtu mzito mara nyingi ametingwa na majukumu mepesi hasa haya mapya ya kuthibitisha vyeti vya Mh. John Mnyika
Kulikuwa na uchaguzi mdogo wa mitaa miwili, vijiji 6 na vitongoji 37... Pia nafasi 120 za wajumbe wa serikali za vijiji.
CHADEMA kimeendelea kuitesa CCM ambapo kimezoa mitaa yote miwili (Bank & Ihimbili), vijiji vinne kikiwemo cha Nyahanga kata ya Sukuma ambapo Mbunge wa sasa wa Magu anatokea (viwili wamegawana CCM+UDP), wajumbe wa serikali za mitaa 80, vitongoji 16 kati ya 20 walivyosimamisha wagombea (2 CCM, 1UDP & 1CUF).
CCM imeanza kuaga pole pole!
anataka kujua updates za elimu ya Mnyika, hata gazeti la Uhuru wameonelea waipe hiyo habari umuhimu wa juu!Kuna mahali nimeuliza, hivi Nape huwa ana.update zile takwimu zake?
teh,teh,teh.......mbona unaongelea uvunguni?