jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,826
- 7,595
Aliyekuwa awe mrithi wa kiti cha ufalme Saudi Arabia alifia hospitalini New York.
Kwahiyo ukiwa kiongozi ni lazima ukatibiwe nje nchi? Mimi na wewe je? Kwenda kutibiwa nje ya nchi kwa karibia viongozi wote wa nchi yetu hakukusikitishi wewe?
Hasa ukiangalia huduma za afya zilivyodorora?
Sijui mwenzetu unaishi hapa au uko wapi?!