MANAKE MKARI
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 281
- 211
Naombeni msaada wandugu,taratibu za likizo ya uzazi kwa mwanamke (maternity leave) zikoje kama amejifungua ndani ya miezi kama 4 tangu alipoajiriwa serikalini?
Kuna taarifa isiyo rasmi niliyopokea kuwa kama hujathibitishwa kazini (confirmed) basi huwezi kupewa hiyo likizo.
Kwa hali kama hii unafanyaje?
Asanteni.
Kuna taarifa isiyo rasmi niliyopokea kuwa kama hujathibitishwa kazini (confirmed) basi huwezi kupewa hiyo likizo.
Kwa hali kama hii unafanyaje?
Asanteni.