Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,961
- 2,138
Niko natazama mashindano ya riadha ya International Association of Athletics Federations (IAAF) yanayofanyika huko Monaco muda huu. Nawaona wanariadha wa Kenya, Africa Kusini, Nigrria, Ethiopia nk wanakimbia na kuruka na kushinda. Nakodoa macho sioni popote timu ya Tanzania!!! Wakenya wameshinda meter 1500 na 800. Are we serious na London Olympic??? Wenzetu wanajipima huko Monaco, wanariadha wetu 6 wakisimamiwa na viongozi 20 (ratio ya 1 to 3) wametulia hotelini London wana subiri miujiza ili washinde!!!! Tanzania ni zaidi ya ujuavyo!!!