geofmwemezi
Member
- Mar 21, 2013
- 12
- 1
Habari wanaJF?
Natanguliza pole kwa fighters wa ajira ambao mpaka sasa hawajapata ajira! Hali ni mbaya kiasi kwamba imefika hatua ya kuomba kazi nje kbs ya professionals tulizosomea!
Siku hizi kuna kamtindo ka matapeli wasomi wa hapahapa Tz ambao hupost ajira feki kwenye mitandao mbalimbali ya ajira kwa lengo la kuwatapeli job seekers.
Kuna ndugu yngu ka apply kazi flani na baada ya kama cku tatu kapokea msg hii hapa chini
Hallo, naitwa Alex from FUTURE NGO Dar, tupo kikaoni tunapitia CV za kuinterview for Project officer, your cv is good nataka nikusaidie upate hii kazi if you agree with my terms, salary ni Tshs. 1,200,000/= ukilipwa salary ya kwanza utanipa laki 4. HR Manager nimeshampa mchongo kakubali atakupitisha directly but anataka laki 1 leoleo me nina elfu 75 tu hapa, so tuma sh. Elfu 25 by tigo pesa to 652344012 ili itimie tumpe hiyo laki. By saa 10 jioni uwe umeishatuma, me siwezi ongea now mpaka badae nikitoka kikaoni nitakucheki tena na ndipo utapigiwa simu lini uje for interview.
BEWARE
Natanguliza pole kwa fighters wa ajira ambao mpaka sasa hawajapata ajira! Hali ni mbaya kiasi kwamba imefika hatua ya kuomba kazi nje kbs ya professionals tulizosomea!
Siku hizi kuna kamtindo ka matapeli wasomi wa hapahapa Tz ambao hupost ajira feki kwenye mitandao mbalimbali ya ajira kwa lengo la kuwatapeli job seekers.
Kuna ndugu yngu ka apply kazi flani na baada ya kama cku tatu kapokea msg hii hapa chini
Hallo, naitwa Alex from FUTURE NGO Dar, tupo kikaoni tunapitia CV za kuinterview for Project officer, your cv is good nataka nikusaidie upate hii kazi if you agree with my terms, salary ni Tshs. 1,200,000/= ukilipwa salary ya kwanza utanipa laki 4. HR Manager nimeshampa mchongo kakubali atakupitisha directly but anataka laki 1 leoleo me nina elfu 75 tu hapa, so tuma sh. Elfu 25 by tigo pesa to 652344012 ili itimie tumpe hiyo laki. By saa 10 jioni uwe umeishatuma, me siwezi ongea now mpaka badae nikitoka kikaoni nitakucheki tena na ndipo utapigiwa simu lini uje for interview.
BEWARE