Matapeli mtandaoni! Soma hapa na ww usije ukaingia mkenge...

Amicus Curiae

JF-Expert Member
Sep 12, 2012
5,201
7,237
Haka kabinti ni kazuri sana, nimekuta kameniinbox kwenye acc yangu ya fb kwamba kanataka kuestablish a long lasting relationship with me, kakanipa email address yake ili tuwasiliane, kwa kuanza kakanitumia picha zake, nzuri sana! Baadae kakaniambia kanataka kanipe historia yake, mambo yakawa hivi...kakaniambia baba ake alikua personal adviser wa Rais wa Ivory Coast ila akauawa na rebels kwenye yale machafuko yaliyotokea mwaka 2011 akanitumia na link ili nisome hiyo habari ya machafuko mimi mwenyewe, kakaendelea...eti baba yake alimuachia ela nyingi kwenye a leading bank in England ambapo yeye ndio alikua mentioned kama next of kin, anadai aliachiwa kiasi cha 4.9 million US dollars!!! Kidume nikadata!

Kwa sasa yeye yupo kwenye kambi ya wakimbizi Senegal, na anadai wakimbizi hawako entitled na haki yoyote kwa mujibu wa Sheria za Senegal, sasa anataka atoe zile ela zake ila amepewa masharti kwamba hadi atafute foreign partner ambapo kanichagua mm, akanitumia namba yake ya simu tukaongea fresh tu! Baadae akanitumia email address ya hiyo bank ya England nikawaemail wakanijibu kwamba ni kweli huyu dem ana ela kwenye hiyo bank wakaniomba na namba yangu ya simu wakanipigia tukaongea kabisa! Wakanipa masharti kwamba ili niweze kutoa hiyo ela inabidi niwe na documents nne, 1. death certificate ya baba wa huyo dem, 2. statement of account ambayo huyo baba alipewa na bank kabla hajafariki, 3. Power of Attorney na 4. Affidavit. Huyo dem kashanitumia documents mbili; yaani document ya kwanza na ya pili. Bado documents ya 3 na ya 4 ambazo lazima zitolewe Senegal, huyo dem kanitumia email address na namba za simu za Wakili ambaye yupo Senegal ili niwasiliane nae azidraft hizo document.

Ninachojiuliza ni je, nimeexperience matapeli wengi mtandaoni lakini huyu dem ananichanganya ananifanya nihisi kwamba ni mkweli, manake hajaniomba ela yoyote mpk sasa kama ilivyokawaida ya matapeli wengine, na hajaniomba nidisclose information yangu yoyote inayohusiana na maswala yangu ya kibenki! Nimeshamuemail huyo wakili na ndo nasubiri majibu now, inawezekana huyu dem ni tapeli pia? ushauri please, manake ananipigia simu mara kwa mara kunisalimia, anaelekea kunishawishi kwamba yeye sio tapeli...
 
Yeye hatakuomba, ila hiyo bank watakuambia utume pesa ya kufungua account ambapo watakutajia kuanzia paundi 2000 na kuendelea halafu watakuambia utume pesa ya kuactivate account etc kuna rafiki yangu wa karibu sana alilizwa millioni 11 kabla ya kurecover akatapeliwa na watz wa bongo mill 70,xo be watchfull na pesa za harakaharaka
 
you take care tapeli huyo.....anasubiri ukolee kwanza kwake then aanze kukutapeli vizuri...mimi nilishakutana na binti wa hivyo netlog akataka tuwe friends nkampa my email address maneno aliyokuabia wewe ndiyo na mimi niliyoambiwa so si ajabu ni same girl...kwa bahati mbaya kwake mimi sidanganyiki....so be very carefull bro.
 
Hahahahahahah
kumbe hadi sasa hi hipo?
Hizi ni mekutana nazo sana na tena wengi mabinti wa senegal na ivory coast!

Haka kabinti ni kazuri sana, nimekuta kameniinbox kwenye acc yangu ya fb kwamba kanataka kuestablish a long lasting relationship with me, kakanipa email address yake ili tuwasiliane, kwa kuanza kakanitumia picha zake, nzuri sana! Baadae kakaniambia kanataka kanipe historia yake, mambo yakawa hivi...kakaniambia baba ake alikua personal adviser wa Rais wa Ivory Coast ila akauawa na rebels kwenye yale machafuko yaliyotokea mwaka 2011 akanitumia na link ili nisome hiyo habari ya machafuko mimi mwenyewe, kakaendelea...eti baba yake alimuachia ela nyingi kwenye a leading bank in England ambapo yeye ndio alikua mentioned kama next of kin, anadai aliachiwa kiasi cha 4.9 million US dollars!!! Kidume nikadata!

Kwa sasa yeye yupo kwenye kambi ya wakimbizi Senegal, na anadai wakimbizi hawako entitled na haki yoyote kwa mujibu wa Sheria za Senegal, sasa anataka atoe zile ela zake ila amepewa masharti kwamba hadi atafute foreign partner ambapo kanichagua mm, akanitumia namba yake ya simu tukaongea fresh tu! Baadae akanitumia email address ya hiyo bank ya England nikawaemail wakanijibu kwamba ni kweli huyu dem ana ela kwenye hiyo bank wakaniomba na namba yangu ya simu wakanipigia tukaongea kabisa! Wakanipa masharti kwamba ili niweze kutoa hiyo ela inabidi niwe na documents nne, 1. death certificate ya baba wa huyo dem, 2. statement of account ambayo huyo baba alipewa na bank kabla hajafariki, 3. Power of Attorney na 4. Affidavit. Huyo dem kashanitumia documents mbili; yaani document ya kwanza na ya pili. Bado documents ya 3 na ya 4 ambazo lazima zitolewe Senegal, huyo dem kanitumia email address na namba za simu za Wakili ambaye yupo Senegal ili niwasiliane nae azidraft hizo document.

Ninachojiuliza ni je, nimeexperience matapeli wengi mtandaoni lakini huyu dem ananichanganya ananifanya nihisi kwamba ni mkweli, manake hajaniomba ela yoyote mpk sasa kama ilivyokawaida ya matapeli wengine, na hajaniomba nidisclose information yangu yoyote inayohusiana na maswala yangu ya kibenki! Nimeshamuemail huyo wakili na ndo nasubiri majibu now, inawezekana huyu dem ni tapeli pia? ushauri please, manake ananipigia simu mara kwa mara kunisalimia, anaelekea kunishawishi kwamba yeye sio tapeli...
 
inaonekana we jamaa bado mchanga sana! huyo ni scammer kama wengine tu, me zimeshakuja sana kwangu hizo! hao style yao ni kumtumia pesa tena kidogo kidogo leo $100 kesho kutwa $ 50 tena $ 120 hadi ukome kujiona unamazali ya kupata mademu wakali kwenye mtandao! we unafikir huko aliko hakuna wanaume?

Sasa me nataka nawe upate uzoefu ambao me naujua kama ifuatavyo! nakushauri mkuu we nenda nae hivyo hivyo ila panapofika ukitakiwa kutoa pesa we mwambie utatumia local banks kujua details za hiyo acount ya baba yake! hapo atakugomea, sasa akigoma we pokea ushauri wake alafu mwambie wewe upo tayari kutuma hizo pesa ila mwambie akupe mchakato mzima toka kwa huyto wakili ili ujue pesa zote zinazohitajika. hapo utapewa gharama za wakili, pesa ya kuactivate acount, transfer fee nk. na mwisho nauli ya binti kuja bongo au kwenda uk kwenye acount yenyewe hatimae utaachwa mdomo wazi na mijimate ikimwagika! chunga sana usicheze na watu wa africa magharibi: nigeria senegal, liberia nk watakupiga tu kama huwajui saivi anakuremba ili umuamini cunajua tena kama vile unavyotongoza videmu mkuu huwezi sema kama unataka upige alafu usepe zako! uamuzi mzuri kuleta habari hii papa jamvini mkuu, hebu na utupe mrejesho nyuma bac
 
Same girl ....same girl.... Dah nakumbuka wimbo wa r kelly na asha raymond

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Huyo bint hata mimi amewahi nitumia ni huyo huyo maana maelezo yake habadilishi. Usiendelee kuwasiliana nae huwa sijui wanataka nini na kama umempa email yako ya ukweli basi mtoke haraka sana kwenye technologia hii they can do anything by using your details.
 
Back
Top Bottom