Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,604
Wanabodi, kwa kawaida huwa siangalii kipindi cha Ze Comedy Original cha kina Joti kinachorushwa na TBC kwa vile niliwaona kama waopuuzi puuzi fulani hivi, lakini leo imetokea niko mahali wao the comedy ndio kwao hivyo kujikuta naangalia.
Joti akaibuka analalamika jinsi wanavyomtumikia tajiri mmoja ambaye ni hodari kutoa misaada huku waajiriwa wake wakilia njaa kuwa wanalipwa mishahara midogo!.
Jee hoja ya Joti inaukweli wowote?. Jee hawa matajiri wetu nchini ni mapepari wanyonjaji wenye nia ya kujineemesha wao kwa kuwanyonya wengine kama wale tuliowakataa wakati wa Azimio la Arusha?!.
Au ni matajiri wenye nia ya kuwasaidia Watanzania kuboresha maisha yao kwa kutoa maslahi bora kwa watumishi wao?!.
Angalizo: Kwa vile Ze Comedy hawakutaja majina, naombeni wachangiaji msitaje majina ya hawa matajiri wetu!.
Joti akaibuka analalamika jinsi wanavyomtumikia tajiri mmoja ambaye ni hodari kutoa misaada huku waajiriwa wake wakilia njaa kuwa wanalipwa mishahara midogo!.
Jee hoja ya Joti inaukweli wowote?. Jee hawa matajiri wetu nchini ni mapepari wanyonjaji wenye nia ya kujineemesha wao kwa kuwanyonya wengine kama wale tuliowakataa wakati wa Azimio la Arusha?!.
Au ni matajiri wenye nia ya kuwasaidia Watanzania kuboresha maisha yao kwa kutoa maslahi bora kwa watumishi wao?!.
Angalizo: Kwa vile Ze Comedy hawakutaja majina, naombeni wachangiaji msitaje majina ya hawa matajiri wetu!.