Jamal Malinzi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 710
- 650
Majuzi Hollyman alifungua thread ya aina hii. Nia na lengo lake lilikuwa ni zuri, namshukuru.
Nimeamua nifungue mwenyewe hii thread ili iwe ni uwanja wa kudumu wa kuniuliza maswali, kutaka ufafanuzi na pia kutoa ushauri kuhusu maendeleo ya mpira wetu.
Kwa ruhusa ya moderators ninaomba uwe ni ukurasa wa kudumu hapa JamiiForums.
Jamal Malinzi,
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu
Dar es Salaam
4 Februari 2014.