Ubora wa Shahada za Uzamili kutoka Chuo Kikuu Mzumbe

blessings

JF-Expert Member
Jul 9, 2012
6,983
6,237
Wadau nachukua nafasi hii kuwatahadharisha wanaotarajia kusoma Masters za Mzumbe ni kimeo tupu mimi nilianza Masters hapo ya Corporate Management duuh! walimu ni kama vile hawajui kitu wakiingia darasani ni stori zisizo husiana na masomo tupu, waliotutangulia nao ni kutoa pesa kwa walimu ili wafanyiwe Dissertation nimeamua kuacha japo nilishalipia ada kiasi bora nikasome MBA ya ESAMI. Mzumbe jipangeni vinginevyo vyuo vingine vitawapiku.
 
asante kwa taarifa mkuu! m ndo mlikuw najiandaa nxt yr nianze. ila km desseratio ya kunuhnu c ndo poa!!
 
Wadau nachukua nafasi hii kuwatahadharisha wanaotarajia kusoma Masters za Mzumbe ni kimeo tupu mimi nilianza Masters hapo ya Corporate Management duuh! walimu ni kama vile hawajui kitu wakiingia darasani ni stori zisizo husiana na masomo tupu, waliotutangulia nao ni kutoa pesa kwa walimu ili wafanyiwe Dissertation nimeamua kuacha japo nilishalipia ada kiasi bora nikasome MBA ya ESAMI. Mzumbe jipangeni vinginevyo vyuo vingine vitawapiku.

Unaonekana umekuja kwa mtindo tofauti lakini ujumbe wako ni ule ule wa siku zote nao ni USHINDANI WA VYUO. Jipya katika thread yako sijaliona kwa maana haaingii akilini kwamba Master degree za Mzumbe ni kimeo, je wewe umesoma masters zote? Pili ni kuna jumla ya credit points 40 katika masomo 10 ya MBA in Corporate Management, je inaingia akilini kwamba walimu wanapiga stori somo la kwanza hadi la kumi? Tatu imekuwaje umemaliza masomo yote kumi ndipo ugundue udhaifu huo? hukuona udhaifu huo ulipokuwa semester ya kwanza?

Mzumbe shule ni ngumu hadi watu wana disco katika level ya masters. Kwa maelezo yako sichelei kuamini kwamba course work imekushinda, hujapata sifa za kufanya dissertation (umedisco) ndo maana unajifanya shule Masters za Mzumbe ni kimeo hivyo unataka kwenda ESAMI.
 
Unaonekana umekuja kwa mtindo tofauti lakini ujumbe wako ni ule ule wa siku zote nao ni USHINDANI WA VYUO. Jipya katika thread yako sijaliona kwa maana haaingii akilini kwamba Master degree za Mzumbe ni kimeo, je wewe umesoma masters zote? Pili ni kuna jumla ya credit points 40 katika masomo 10 ya MBA in Corporate Management, je inaingia akilini kwamba walimu wanapiga stori somo la kwanza hadi la kumi? Tatu imekuwaje umemaliza masomo yote kumi ndipo ugundue udhaifu huo? hukuona udhaifu huo ulipokuwa semester ya kwanza?

Mzumbe shule ni ngumu hadi watu wana disco katika level ya masters. Kwa maelezo yako sichelei kuamini kwamba course work imekushinda, hujapata sifa za kufanya dissertation (umedisco) ndo maana unajifanya shule Masters za Mzumbe ni kimeo hivyo unataka kwenda ESAMI.


Hata mimi nahisi huyu jamaa kavutwa ndo anakuja na maneno mengi mengi.
 
Jamani wa ndugu shule kwa sasa kikubwa ni wewe kwani Masters hatutegemei sana walimu kwani wao ni kuelekeza njia, nimesoma MBA-Marketing Management pale na nimemaliza 2009 sikuona tatizo kwani sikuwahi kuhonga wala kuambiwa nihonge, kama kuna waliomaliza kwa kuhonga kwangu hilo si tatizo maana sijui na sipaswi kuwatafuta. Nachokijua ile shule imenisaidia sana si kama unavyotaka tuamini.
 
Jamani wa ndugu shule kwa sasa kikubwa ni wewe kwani Masters hatutegemei sana walimu kwani wao ni kuelekeza njia, nimesoma MBA-Marketing Management pale na nimemaliza 2009 sikuona tatizo kwani sikuwahi kuhonga wala kuambiwa nihonge, kama kuna waliomaliza kwa kuhonga kwangu hilo si tatizo maana sijui na sipaswi kuwatafuta. Nachokijua ile shule imenisaidia sana si kama unavyotaka tuamini.

Kwa kweli bwana Maswitule, nadhani huyu bwana atakuwa na stress zake. Anakilaumu Chuo na kwamba yeye hawezi kufanya dissertation kwa sababu watu hufanyiwa ni hoja mufilisi kabisa na haina mantiki. Kuna watu wengi tena lukuki wanaotoa ushuhuda wa namna ambavyo Masters zao zimewasaidia huko mtaani, na mwingine alitoa ushuhuda kwamba kwa kupitia Masters hiyo, hivi sasa anafanya PhD huko ughaibuni. Kwa hiyo sioni jipya kutoka kwake, ni ule utumbo wa siku zote wa ushindani wa vyuo ila leo kaja na rangi tofauti.
 
Wadau nachukua nafasi hii kuwatahadharisha wanaotarajia kusoma Masters za Mzumbe ni kimeo tupu mimi nilianza Masters hapo ya Corporate Management duuh! walimu ni kama vile hawajui kitu wakiingia darasani ni stori zisizo husiana na masomo tupu, waliotutangulia nao ni kutoa pesa kwa walimu ili wafanyiwe Dissertation nimeamua kuacha japo nilishalipia ada kiasi bora nikasome MBA ya ESAMI. Mzumbe jipangeni vinginevyo vyuo vingine vitawapiku.

Wewe umetumwa na vyuo vingine ambavyo vimekosa soko.Fanya utafiti maofisini watu wengi wanaenda kusoma masters Mzumbe hiyo ni dalili tosha ya kukubalika ktk jamii.
 
Wewe umetumwa na vyuo vingine ambavyo vimekosa soko.Fanya utafiti maofisini watu wengi wanaenda kusoma masters Mzumbe hiyo ni dalili tosha ya kukubalika ktk jamii.

kwa sababu mzumbe ni chaka la kuokotea masters!
 
MBA za mzumbe ni bora kusoma certificate ya secretarial pale magogoni,they are not serious at all
 
Wewe umetumwa na vyuo vingine ambavyo vimekosa soko.Fanya utafiti maofisini watu wengi wanaenda kusoma masters Mzumbe hiyo ni dalili tosha ya kukubalika ktk jamii.

Hakuna chuo kilichokosa soko la MBA......use simple common sense UDSM evening MBA ni three years, full time two years-mzumbe zote ni two years. Pia kwa umri wa mzumbe haijafikia uwezo wa kuproduce all those many Masters degree. How many Phd holder are employed as Lectures mzumbe? Mwenye Masters degree anamfundisha student wa Masters? na kusimamia dissertation...uliona wapi udhaifu huu?

Kwa sasa Mzumbe wanakusanya funds tu, ukweli masters degree zao ni vimeo vya kufa mtu, graduate wa masters degree mzumbe wasio wanafiki wanakiri kabisa kuwa walikwend akupata vyeti tu ili wapate promosheni serikalini. Lakini kama mtu umejiajiri na unataka elimu hiyo kuitumia huko unakofight biashara au kuajiriwa katika mashirika ya kimataifa. Mzumbe is not ideal na utaadhirika tu.
 
Wadau nachukua nafasi hii kuwatahadharisha wanaotarajia kusoma Masters za Mzumbe ni kimeo tupu mimi nilianza Masters hapo ya Corporate Management duuh! walimu ni kama vile hawajui kitu wakiingia darasani ni stori zisizo husiana na masomo tupu, waliotutangulia nao ni kutoa pesa kwa walimu ili wafanyiwe Dissertation nimeamua kuacha japo nilishalipia ada kiasi bora nikasome MBA ya ESAMI. Mzumbe jipangeni vinginevyo vyuo vingine vitawapiku.

I see..... inawezekana mimi ni kimeo sana nimesoma pale, kwasababu shule ilinisumbua almanusura ni-disco. kwasababu niliichukulia poa kabla sijajiunga niliambiwa ni master's ya Vodafasta lakini ilikuwa tofauti sana kwangu
 
Kweli kabisa mzumbe hakuna ishu, wananunua dissertation, mimi nimeona kwa macho yangu

nilimwandikia dada yangu dissertation ya mba mzumbe na ikapitishwa na mwalimu wake tena bila marekebisho makubwa mbali na spellings tu na hapo mm nilikuwa na shahada ya kwanza tu tena science nilikata tamaa!!
 
I see..... inawezekana mimi ni kimeo sana nimesoma pale, kwasababu shule ilinisumbua almanusura ni-disco. kwasababu niliichukulia poa kabla sijajiunga niliambiwa ni master's ya Vodafasta lakini ilikuwa tofauti sana kwangu

siyo siri!
 
kwa sababu mzumbe ni chaka la kuokotea masters!

Kwa hasira hizi mtu mzima yeyote atakuwa kisha kuelewa una tatizo fulani, nijuavyo mimi hakuna taasisi inayowezakuwa na wafanyakazi woote wawe na tabia moja, kwa uzoefu wangu kila chuo lazima watakuwepo waalimu wanafanya shule iwe ngumu na wegine wanaifanya iwe rahisi, kwa mfano ukienda UD utasikia habari ya digrii za chupi ukienda CBE, IFM na Mzumbe halikadhalika, sasa ni kitu gani kipya sana umekiona Mzumbe mpaka ukaona uachane na ada(School fees) yako?, huu ni mtihani kwa msomaji na utakuwa ni mmoja kati ya wachache walio acha shule kwasababu ni rahisi ku-graduate tena katika level ya masters
 
Back
Top Bottom