Maslahi ya Wabunge Tanzania yapoje?

Kuna watu wanapotosha baadhi ya vitu


Mshahara ni mil3.8

Pesa ya mfuko wa jimbo ni mil 8...

Posho ya kikao ni laki 360(Sitting allowance 240, pesa ya Malazi ni 120)

Mafuta ya gari kwa mwezi ni lita 1000

Bima ya afya kubwa

Diplomatic Passport

Kiinua mgongo baada ya 5 years ni 264mil baada ya kodi

Nikikumbuka mengine nitayaleta ila anaweza kuchukua mkopo mpaka bil 2 kwa dhamana ya ubunge wake
Bil 2 kama mkopo ndio maana wanaiba kura kuendelea kusaliq kwa awamu angalau 3 ...

Maana kwa term moja(miaka 5) hawezi kuridisha bil 2 .
 
Kuna watu wanapotosha baadhi ya vitu


Mshahara ni mil3.8

Pesa ya mfuko wa jimbo ni mil 8...

Posho ya kikao ni laki 360(Sitting allowance 240, pesa ya Malazi ni 120)

Mafuta ya gari kwa mwezi ni lita 1000

Bima ya afya kubwa

Diplomatic Passport

Kiinua mgongo baada ya 5 years ni 264mil baada ya kodi

Nikikumbuka mengine nitayaleta ila anaweza kuchukua mkopo mpaka bil 2 kwa dhamana ya ubunge wake
Sasa hawa ndio wanaila nchi. Mafuta si wajinunulie kwa mishahara yao..
 
Kuna watu wanapotosha baadhi ya vitu


Mshahara ni mil3.8

Pesa ya mfuko wa jimbo ni mil 8...

Posho ya kikao ni laki 360(Sitting allowance 240, pesa ya Malazi ni 120)

Mafuta ya gari kwa mwezi ni lita 1000

Bima ya afya kubwa

Diplomatic Passport

Kiinua mgongo baada ya 5 years ni 264mil baada ya kodi

Nikikumbuka mengine nitayaleta ila anaweza kuchukua mkopo mpaka bil 2 kwa dhamana ya ubunge wake
Yaani 30litres per day? Mbona kidogo sana kwa yale ma v8, waongezewe iwe 100 per day. Mshahara wawaongezee angalau iwe 30m per month. Kiinua mgongo baada ya kugonga meza miaka mitano, kiwe angalau trilioni moja.
 
Back
Top Bottom