Mashoga wanayo haki ya kuwa mashoga!

Userne

JF-Expert Member
Jun 7, 2011
892
124
Inanikera sana tunapo kuwa na wakati mwingi wa kujadili matukio zaidi, badala ya hatma yetu na vizazi vijavyo!

Tumebakia mashoga mashoga sijui ushoga! hee! nyie vipi? wakati maadui wetu wakuu, ujinga, umaskini, maradhi, na ameongezeka adui ufisadi, wanapeta! Kwani hamumkosoi Mungu anayewapa riziki mashoga? Usimcheke kilema wakati uu kijana unazaa! ni wachache wenye ujasiri wa kuwatetea wanyonge kama waziri mkuu wa Uingereza.

Ngojeni siku nanyi.....
 
Kaka, swala la mashoga lazima litaongelewa sana. Mimi naamini kila mtu anaruhusiwa kuhishi anavyo pendezwa, na Mungu peke yake ndio Hakim.
Ila kinachon nishangaza ni kuona Waziri mkuu wa uingereza anataka kuwalazimisha watu kukubali ushoga wakati watu hawataki. Sasa uhuru wakujichagulia unaenda wapi?

Pia kumbuka kuwa tunahishi in jamii. Ulaya wamejifanya kuvunja societies zao na kuhishi kama individuals, kila mtu vyake. NI sawa, siwezi kuwahukumu na naheshimu namna yao ya kuhishi ila na wenyewe waheshim namna yetu. societies zetu hazijafunguka kwa ushoga na kabla nizilaumu jamii zetu najaribu kufikiria vitu vi2, vi3:

- Nani kasema ushoga ni mzuri?
- Ukiwa ni mzuri, ni mzuri kwa nani?
- Ukiwa ni mbaya, ubaya wake nini?
-Una affect vipi communities zetu za kiafrika?

Kwa swali hili la mwisho tu, jaribu kufikiria how interdependent we are in africa. Kitu ukifanya wewe aibu ni kwa baba yako na mama yako.

Wakikutenga unapata tabu kweli kusurvive. Emotional Survival yetu kama waafrica tunategemeana sana. Na kwangu mimi naona hii 'unity' kama nguvu na nawaonea huruma watu wenye kuhishi ulaya na america ambapo ukifanya kitu kinaku-affect wewe mwenyewe tu.
 
Unataka kujihalalisha hapa koma nenda mombasa ukutane na wenzio muanzishe harakati zenu huko,bora kufa maskini kuliko kurithi laana. Hakuna laana kama hiyo hata Mungu ilimuudhi sana akauangamiza mji wa Sodoma na Gomora.
 
All the best mkuu. Ila ushoga usilazimishwe uwe kama ndio uvumbuzi mpya wa karne ya ishirini na moja. Wanaoufanya waufanye kivyao vyao
 
Biblia inasema.

Ole wa mfiraji na mfirwaji.

Acheni Dhambi
But In sodoma and gomora hakumtuma Luth akawaue mashoga, he just took care of it himself. kwa hiyo tuwaache tu hadi watakapo kunana na muumba wao.

All the best mkuu. Ila ushoga usilazimishwe uwe kama ndio uvumbuzi mpya wa karne ya ishirini na moja. Wanaoufanya waufanye kivyao vyao
Sawa sawa. Haya mambo yalikutwa toka enzi za kina Plato na kuna sababu za msingi zilizo fanya societies kukataa kuhalalisha ushoga. Hizo sababu sio tena muhimu kule kwao ila huku kwetu hizo sababu bado zina msingi (in culture and religion) na the way tunaheshimu sheria zao kuhusu mashoga, tunataka na wenyewe waheshimu zetu. we will change them when they are no longer relevant TO US.
 
Kaka, swala la mashoga lazima litaongelewa sana. Mimi naamini kila mtu anaruhusiwa kuhishi anavyo pendezwa, na Mungu peke yake ndio Hakim.
Ila kinachon nishangaza ni kuona Waziri mkuu wa uingereza anataka kuwalazimisha watu kukubali ushoga wakati watu hawataki. Sasa uhuru wakujichagulia unaenda wapi?

Pia kumbuka kuwa tunahishi in jamii. Ulaya wamejifanya kuvunja societies zao na kuhishi kama individuals, kila mtu vyake. NI sawa, siwezi kuwahukumu na naheshimu namna yao ya kuhishi ila na wenyewe waheshim namna yetu. societies zetu hazijafunguka kwa ushoga na kabla nizilaumu jamii zetu najaribu kufikiria vitu vi2, vi3:

- Nani kasema ushoga ni mzuri?
- Ukiwa ni mzuri, ni mzuri kwa nani?
- Ukiwa ni mbaya, ubaya wake nini?
-Una affect vipi communities zetu za kiafrika?

Kwa swali hili la mwisho tu, jaribu kufikiria how interdependent we are in africa. Kitu ukifanya wewe aibu ni kwa baba yako na mama yako.

Wakikutenga unapata tabu kweli kusurvive. Emotional Survival yetu kama waafrica tunategemeana sana. Na kwangu mimi naona hii 'unity' kama nguvu na nawaonea huruma watu wenye kuhishi ulaya na america ambapo ukifanya kitu kinaku-affect wewe mwenyewe tu.
Ushoga ni kipaumbele? au! Upo, ulikuwepo, Utaendelea kuwepo! Heri Mungu aniue Leo kuliko kuendelea kuona hii dhulma kuu inayopeta nchi hii! utafikiri nchi wamepewa urithi na baba zao! Nini ushoga takataka na disinfomatiion tu!
 
Unataka kujihalalisha hapa koma nenda mombasa ukutane na wenzio muanzishe harakati zenu huko,bora kufa maskini kuliko kurithi laana. Hakuna laana kama hiyo hata Mungu ilimuudhi sana akauangamiza mji wa Sodoma na Gomora.
Umesha laaniwa weye hujui!

M/Mungu amekupa dalili hizi jipime mwenyewe upo kundi gani! Kondoo wako atachinjwa machoni mwako wewe hutii neno, utaoa wewe wenzio watachukua mkeo, utajenga wenzio wataishi, Mungu atakutia woga ukiona unyasi wewe utafikiri nyoka mbio, maji na kuni zako mwenyewe utanunua kwa pesa,.... Huyaoni? Wajinga na waoga wote motoni! Hii ni kauli ya M/Mungu! wewe endelea na kiburi cha uzima......
 
But In sodoma and gomora hakumtuma Luth akawaue mashoga, he just took care of it himself. kwa hiyo tuwaache tu hadi watakapo kunana na muumba wao.


Sawa sawa. Haya mambo yalikutwa toka enzi za kina Plato na kuna sababu za msingi zilizo fanya societies kukataa kuhalalisha ushoga. Hizo sababu sio tena muhimu kule kwao ila huku kwetu hizo sababu bado zina msingi (in culture and religion) na the way tunaheshimu sheria zao kuhusu mashoga, tunataka na wenyewe waheshimu zetu. we will change them when they are no longer relevant TO US.

Mkuu, ninaheshimu sana mawazo yako! Mimi ninaamini watu ndio wanaweka historia na si historia inaweka watu! bado mashoga si kipaumbele kwa wakati huu! Ila wao wanatusukuma tujadili matukio bila ya sisi kufahamu!
 
Mkuu, ninaheshimu sana mawazo yako! Mimi ninaamini watu ndio wanaweka historia na si historia inaweka watu! bado mashoga si kipaumbele kwa wakati huu! Ila wao wanatusukuma tujadili matukio bila ya sisi kufahamu!
ninatambua uwepo wao lakini tusilazimishane kuwatetea au kuwapa promo in the arms of donors
 
Kama ilivyo aVatar yako na akili yako vimeoana, Sikuombei kwa Mungu ili uwe shoga nikusimange! lakini Mungu wetu yu hai anaona na kusikia, anaweza akakufanya shoga, na kila mtu hata mkeo na wanao waone ukishughulikiwa, hashindwi na hakuna atakayekunusuru! Funga kinywa chako.

Hii kali, yaani Mungu anaweza kumfanya mtu kuwa shoga!?
 
bora kuibiwa mke lkn sio kukubali ushoga.
afu hueleweki Mungu gani huyo unemzungumzia? labda wako lkn sio Mungu tunaemwabudu alietuumba
ushoga haukubaliki hata kidogooooo naurudia hakuna dhambi kubwa kama hiyo.

Kama ilivyo aVatar yako na akili yako vimeoana, Sikuombei kwa Mungu ili uwe shoga nikusimange! lakini Mungu wetu yu hai anaona na kusikia, anaweza akakufanya shoga, na kila mtu hata mkeo na wanao waone ukishughulikiwa, hashindwi na hakuna atakayekunusuru! Funga kinywa chako.
 
Back
Top Bottom