Mashine ya kungundua wezi ilijaribiwa marekani & kwingineko.Marekani ndani ya dakika 30 ilinasa wezi 500,zimbabwe dakika 20 wezi laki 20,Kenya dakika 10 wezi Milioni 2.Tanzania ndani ya dakika 5 mashine iliibiwa.
Ha ha ha hiyo ndio bongo nayoijua mimi,kuna kampuni ya kijapani-Kajima ilibidi walete cement ambayo hata ukichanganya na maji haigandi mpaka uweke dawa maalum,hii ni baada ya kuibiwa saana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.