Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Habari zenu wanajamvini,

Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku, sasa kidogo biashara yangu imepanuka, nahitaji mashine ndogo ya kutotoleshea vifaranga.

Naomba mnisaidie bei na mahali zinapopatikana, nitashukuru kwa msaada wenu.

ELIMU JUU YA UCHAGUZI WA MASHINE BORA YA KUTOTOLESHEA MAYAI YA KUKU(INCUBATOR).

Ni watu wengi wanaohitaji kufuga kuku na kuwa na kipato zaidi kwa kumiliki mashine zao wenyewe za kutotolesha mayai ya kuku. Lakini baadhi yao hukatishwa tamaa na baadhi ya watu ambao hawajui kuwapa ushauri mzuri juu ya uchaguzi wa mashine na jinsi ya kuitumia.

Kwa kawaida tunasema kama mashine ina trei tano za mayai;kila trei imetoa kifaranga kimoja;hilo ni kosa la mtumiaji wa mashine;ila mashine haina kasoro.

Mayai yanayowekwa ktk mashine yanatakiwa yasiwe yamekaa zaidi ya siku saba tangu kutagwa;yawe safi;yasitikiswe wala kunyanyuliwa kwa vidole wakati wa kugeuza.Joto la mashine lisishuke nyuzi joto 38'c.geuza mayai kila baada ya masaa nane;hakikisha kuna maji safi ktk mashine na hewa safi.

Geuza mayai mpaka siku ya 18;basi.
Ukifuata masharti hayo na mengine; utaifurahia mashine yako.
Wasiliana nasi:
Dsm 0784413039;Njombe 0787150720;Ruvuma 0784480931;KWA INCUBATOR BORA ZENYE UHAKIKA.
 
Jitahidi upate incubator ambazo ni automatic. ukiweka mayai machafu au yenye crack iwe inayatema na pia iwe inageuza mayai yenyewe na hata umeme ukikatika iwe na uwezo wa kuhifadhi joto kwa zaidi ya masaa manane.

Vinginevyo ni majanga.
 
Natengeneza Incubator Temberea Uzi umeandikwa natengeneza Incubator
Hizi ni incubator Ninazo tengeneza hii imeisha kula mzigo tayari
IMG_20140604_145908.jpg
IMG_20140604_145634.jpg
IMG_20140604_145724.jpg
 
Kwa mahitaji yako ya mashine za aina zote za kutotolesha mayai ya kuku tupigie simu namba 0784413039.

Ofisi zetu zipo mkoani njombe;hivi sasa tunatarajia kufungua ofisi dar es salaam wilaya ya ilala.

Pia tuna tawi mkoa wa mtwara.

Wasiliana nasi kwa mahitaji ya incubator yoyote.
Pia ni mafundi wa kujenga mitambo ya biogas majumbani;kusuka inverter kubwa za kuendesha friji nk.

Karibuni sana.

Mwakalinga general entreprises,ilala dar es salaam.
 
Haya Mayai ya kutotolesha ndio maana mwisho wa siku vijana wengi wanakuwa na matatizo ya nguvu za kiume kuliko wazee.
 
Izo ni hisia zako tuu, mbona wengine tumekula mayai tangu tunazaliwa na shoo tunaisimamia vyema
 
MGE &
MGE NI KAMPUNI ILIYOSAJILIWA KISHERIA,INAYOJIHUSISHA NA UUNDAJI WA
MASHINE MBALI MBALI KWA MATUMIZI MUHIMU KTK JAMII.KAMPUNI INA OFISI ZAKE
ILALA DAR ES SALAAM,NJOMBE,NA RUVUMA.KAMPUNI HII INAUNDWA NA WATAALAMU
WALIOBOBEA AMBAO PIA NI WAALIMU KTK VYUO VYA VETA TANZANIA.

KWA NIABA YA KAMPUNI NAPENDA KUWATANGAZIA WATANZANIA WOTE KUWA KUTAKUWA
NA PUNGUZO KWA BIDHAA ZETU KWA WALE WATAKAOHITAJI HUDUMA ZETU KWA
KIPINDI CHA SABASABA.

BIDHAA AMBAZO ZITAKUWA NA PUNGUZO NI:-

1.MASHINE ZA KUANGULIA MAYAI YA KUKU(INCUBATOR),ZINAZOTUMIA UMEME NA
ZINAZOTUMIA MAFUTA YA TAA ZENYE UWEZO WA KUCHUKUA MAYAI MOJA MPAKA MIA
HAMSINI.

2.PURE SINE WAVE INVERTER.INVERTER UNAZOWEZA KUTUMIA KUWASHA
FRIJI,TV,TAA FAN NK.

KWA MAWASILIANO:
DAR ES SALAAM:MWALIMU ELIASANTE 0784413039.
NJOMBE:MWALIMU MAGOA 0787150720.
RUVUMA:MWALIMU MTWEVE 0784480931.
barua pepe: :mwakalingaeli@gmail.com

KARIBUNI SANA
 
Haya Mayai ya kutotolesha ndio maana mwisho wa siku vijana wengi wanakuwa na matatizo ya nguvu za kiume kuliko wazee.

Mayai ya kutotolesha kwenye incubator hayana tatizo lolote sababu hata binadamu anaweza kukuzwa kwenye incubator special na akakua, kinachotumika hapa ni kulipa yai joto ambalo kuku hutoa kukuzia kiumbe ndani ya yai na si mazingaombwe.
 
Wana JF,
Ninaandaa mpango biashara wa ufugaji wa kuku, ninahitaji kuwa Incubator kwa ajili ya utotolesha wa vifaranga kuanzia 1000-2000! Sina uzoefu wa kutosha na hizi incubator kwa hiyo na msaada ili kufahamu ni incubator ya aina gan ni bora zaidi na good userfriend katika umeme, Na bei yake pia

Nawasilisha!!
 
Wana JF,

Ninaandaa mpango biashara wa ufugaji wa kuku, ninahitaji kuwa Incubator kwa ajili ya utotolesha wa vifaranga kuanzia 1000-2000.

Sina uzoefu wa kutosha na hizi incubator kwa hiyo na msaada ili kufahamu ni incubator ya aina gani ni bora zaidi na good userfriend katika umeme, Na bei yake pia!

Niko mjini Mwanza.

Nawasilisha!!
 
Wana JF,
Ninaandaa mpango biashara wa ufugaji wa kuku, ninahitaji kuwa Incubator kwa ajili ya utotolesha wa vifaranga kuanzia 1000-2000! Sina uzoefu wa kutosha na hizi incubator kwa hiyo na msaada ili kufahamu ni incubator ya aina gan ni bora zaidi na good userfriend katika umeme, Na bei yake pia
Nawasilisha!!

Mie nimewaagizia jamaa zangu incubator safi sana ambazo ni automatic toka china. Moja ya mayai 880 na nyingine mayai 1584, wanazisifia ni za ukweli sana!... Ukiwa tayari sema nikuunganishe na sales officer huko China akuuzie na kukutumia kwa meli hadi bandari uliyokaribu nayo.
 
mkuu na me pia naomba unipm contact zako!!
vip kuhusu chicken cage jamaaa pia wanadeal nazo au hapa kwetu naweza pata wap?
 
mkuu na me pia naomba unipm contact zako!!
vip kuhusu chicken cage jamaaa pia wanadeal nazo au hapa kwetu naweza pata wap?

NimeshakuPM mkuu. Chicken cage unapata mkuu, wachina wanazo na unaweza kuagiza ukazipokea bandarini tu kama ilivyo kwa incubator.
 
mkuu na me pia naomba unipm contact zako!!
vip kuhusu chicken cage jamaaa pia wanadeal nazo au hapa kwetu naweza pata wap?

Tena kama upo full wanaweza kutuma incubator
na cage pamoja na cost zitapungua. Kama upo
serious, sema mchongo ufanyike.
 
Yap hiyo ni kweli chasha, tunaomba muongozo basi au ndo kusema Tanzania bado hii technologia haijaanza tumika au watu wengi hawajaipendelea?

Mbona ipo, ila ni ghari sana kununua cage, balton huwa wanauza ila ni ghari sana, unatakiwa ujipange, ingawa cage ni nzuri sana hasa kama unazalisha mayai kwa ajili ya kuuzza kwa sababu hayachafuki na hayavunjiki hovyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom