Salaam wana Jf wote nataka nitengeneze incubator machine (home made) naomba utaalamu wako!
Naomba kuwasilisha.
Salaam wana JF!!!!! nahitaji mashine kwa ajili ya kutotoleshea vifaranga hivyo basi naombeni mnisaidie wapi na weza pata incubator genuine inayotumia umeme yenye uwezo wa kupack mayai 100-200. Msaada toka kwenu wakuu!
MSUNGU ENG.WORKS tupo DODOMA MJINI.sisi ni watengenezaji wa automatic incubator zinazotumia umeme kidogo sana lakini zinatotolesha mayai yote ili mradi yai liwe limerutubishwa najogoo.bei zetu ni-
1- mayai 200 ni tsh laki nane na nusu
2 -mayai 300 ni tsh milioni moja na laki mbili
3 -mayai 600 ni tsh milioni mbili
4 -mayai 1000 ni tsh milioni tatu na nusu
5 -mayai 2500 ni tsh milioni tano
mashine hizi tunazotengeneza ni automatic zina control kiasi cha joto pia zinageuza mayai zenyewe.tunapata wateja hata nje ya mkoa wa DODOMA huwa tunatuma mashine na kuhakikisha umeipata.
kwa mawasiliano zaidi piga simu 0765 442104. au fika ofisi za manispaa ya Dodoma uliza msungu eng.pia tembelea Msungu Engineering Works | Tunatengeneza mashine za kutotolesha mayai aina zote.. karibuni
NDUGU wa jf kwa sasa ufugaji kuku umekuwa dili zuri umewatoa kiuchumi watu wengi. si unaona hata hapa jf member wengi wanafurahia kufuga kuku na wanahamasisha wengine tufuge kuku.leo ninawaletea habari njema
MSUNGU ENG.WORKS sisi ni mabingwa na wazoefu wa muda mrefu juu ya utengenezaji wa incubator za kutotolea mayai. mashine zetu ni automatic yani inajiendesha yenyewe kwa ku-control kiasi cha joto pia inageuza mayai yenyewe.mashine hizi zinatumia umeme.bei zetu ni -
1- mayai 200 tshs 850,000/=
2- mayai 300 tshs 1,200,000/=
3- mayai 600 tshs 2,000,000/=
4- mayai 1,000 tshs 3,500,000/=
5- mayai 2,500 tshs 5,000,000/=
hata kama uko nje ya mkoa wa DODOMA usihofu mashine yako --------- mpaka ulipo.unapewa na warrant .
tuna patikana DODOMA MJINI MAILI MBILI. simu 0765 442104. tembelea website yetu Msungu Engineering Works | Tunatengeneza mashine za kutotolesha mayai aina zote. .karibuni sana
sasa mkuu hizo incubator zinaanzia mayai 200 tu? Hamna za chini ya hapo? Manake kwangu bei ni kubwa kidogo.
Je vifaranga mnauzaje?