Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,232
- 609
Wanajamvi,
Kilio cha muda mrefu cha wafanyabiashara nchini waliokuwa wanalalamikia Serikali kwamba mashine za EFD's zinauzwa ghali, kwa sasa tatizo hilo limetauliwa kwani zitatolewa bure na Serikali.
Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Dk. Philip Mpango, ametoa kauli hiyo leo Jijini Dar es Salaam na kwamba mashine hizo za EFD hazitauzwa, wafanyabiashara nchini watapewa vifaa hivyo bure.
Nadhani sasa Serikali imeamua kujielekeza kuondoa vikwazo vyote vilivyokuwa vinalalamikiwa ili kufanikisha zoezi la kukusanya mapato.
Kilio cha muda mrefu cha wafanyabiashara nchini waliokuwa wanalalamikia Serikali kwamba mashine za EFD's zinauzwa ghali, kwa sasa tatizo hilo limetauliwa kwani zitatolewa bure na Serikali.
Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Dk. Philip Mpango, ametoa kauli hiyo leo Jijini Dar es Salaam na kwamba mashine hizo za EFD hazitauzwa, wafanyabiashara nchini watapewa vifaa hivyo bure.
Nadhani sasa Serikali imeamua kujielekeza kuondoa vikwazo vyote vilivyokuwa vinalalamikiwa ili kufanikisha zoezi la kukusanya mapato.