Matanzia kizebazeba
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 654
- 630
Habarini wakuu ningependa kuuliza juu ya mashine bora ya kukamulia mafuta ua alizeti,
Ningependa kujua yafuatayo,
Aina zake,
Bei zake,
Na zinapoweza patikana mashine hzo
Ningependa kujua yafuatayo,
Aina zake,
Bei zake,
Na zinapoweza patikana mashine hzo