Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 277
Iligunduliwa machine ya kukamata wezi huko Marekani na kupelekwa nchi mbalimbali kwa majaribio.China baada ya dk 5 watu 10 walikamatwa ,Kenya baada ya dk 5 watu 50 walikamatwa,South Africa baada ya dk 5 watu 100 walikamatwa.Ilipofikishwa Tanzania baada ya dakika tano mashine yenyewe iliibwa!