Kachumbi
Member
- Aug 26, 2014
- 70
- 30
Waandishi wengi hawatoi taarfa kuhusiana na michezo za vijana hawa,kuongelea ata vipaji,namna ya kuwaendeleza,waandishi wa michezo ni wakwanza kulalamika kuwa timu zetu haziwekezi kwenye soka la vijana,angalia wanavyopewa promo ndogo,hawatiwi moyo na waandishi wetu,waandishi badirikeni musiwe watu wa kuongea pale mambo yanapoaribika.Tumia kalamu zenu kuhamasisha ili vijana hawa waendelezwe,na kuongelea vipaji vivyoonekana ,kalamu zenu zinaweza kuwa chachu ya kuonekana kwa hawa vijana na kuuzwa kwa vijana hawa.